Naomba Ushauri Juu Ya Hali Hii Ya Wife

Naomba Unisikilize kwa makini,
Katika dunia hii mara nyingi binadamu tunapata riziki kwa sababu maalumu,tunapata riziki amabzo so zetu.wakati mwingine unaweza pata fedha kumbe fedha hizo ni kwa sababu ya watu flani ambao wamekuwa wakimwomba Mungu awasaidie kujikwamua,na sasa mungu ameangalia mahala pa kupitishia/Kujibu maombi yao akaaona apitishie kwako.Sasa basi unajukumu la kufikisha kile ambacho umetumwa na mungu,na baada ya kufikisha utalipwa na yeye kwa kile utakachokiua umefanya,
I
lakini pia,umekua unaweza kumudu gharama zote hizo kwa msaada wa Mungu,inafikia siku sasa Mungu anaitaji kuona wewe unamrudishia nini Mungu.Katika hali hiyo tegemea shetani hafurahishwi na mahusiano mazuri yaliopo katiu yako na Mungu kwakua mungu anakuwezesha na wewe unamtolea kwa njia ya kuwasaidia wasiokua na uwezo.kwa sasabuhiyo basi shetani lazima ajaribu kuingilia kati ili kuvuruga na shetani kaaamua kumtumia wakala wake.

Sasa basi, uwamuzi unao wewe,...ushauri wangu ni kwamba yakupasa kua mtu mwenye msimamo wa kukata shetani kukupelekesha,najua sheji anakubip,wewe usimpigie, akitest wewe fanya kweli,usimtafute,usimfate,piga kimya,amin unachofanya wala si unachopelekwa kama remote,

Ndugu yangu ukiyumba tu ndio umasikini umekukuta
those are socialist ideas.
 
Mimi ndio maana wanaume wakibongo hatari.kabla ya kumuoa ulimwambia hayo ,it's not good Mkala.I do not believe mambo ya extended family at all.mama angu nae kutwaa anawakusanya akienda kijijini gari limejaa watoto.Akienda kazini tunawafukuza kwa wazazi wao na basi. Well I'm a conservatives republican I believe in personal responsibility.Ujamaa uliisha kitambo jamani kutwaa nagombana na my mom.msiba wanamsubiri yeye,mtu kamaliza shule year.mkaka put your wife kwanza ndugu wa nini ?na nishawaambia ndugu wa mother akienda mbinguni.undugu basi .wanaume wa kiafrika bwana noma

heri hata nyie mlikuwa mnawarudisha kwa basi, sisi mama alikuwa nawaleta kwa ndege tunawatimua kwa TZ 11. hakuna nauli wala gari chapa lapa. ndugu ndgu wa nn?
 
heri hata nyie mlikuwa mnawarudisha kwa basi, sisi mama alikuwa nawaleta kwa ndege tunawatimua kwa TZ 11. hakuna nauli wala gari chapa lapa. ndugu ndgu wa nn?

Watu Kama Hawa wanawalaza watoto wao sebleni wageni chumbani.shemeji wako wewe wa nini ?
 
Mimi ndio maana wanaume wakibongo hatari.kabla ya kumuoa ulimwambia hayo ,it's not good Mkala.I do not believe mambo ya extended family at all.mama angu nae kutwaa anawakusanya akienda kijijini gari limejaa watoto.Akienda kazini tunawafukuza kwa wazazi wao na basi. Well I'm a conservatives republican I believe in personal responsibility.Ujamaa uliisha kitambo jamani kutwaa nagombana na my mom.msiba wanamsubiri yeye,mtu kamaliza shule year.mkaka put your wife kwanza ndugu wa nini ?na nishawaambia ndugu wa mother akienda mbinguni.undugu basi .wanaume wa kiafrika bwana noma

am a conservative democrat, but i don't give a damn extended families. i live with my family only sitak kupoteza muda na ndugu wasio na msaada.
 
Kabla sijaanza kumlaumu mke, naomba kwanza uniambie ni kwa nini umeamua kuwachukua watoto hao waje kukaa nanyi? Ulimshirikisha mkeo kwenye hayo maamuzi?<br>Hiyo tabia ya kukataa ndugu zako hata wanaokuja kwa kutembea tu ndo sijaielewa, na kwa nini apende wanaume na achukie wanawake? Hakuamini? Maana Kama swala ni kuchukia ndugu, basi angechukia wote.<br>sijui sababu zilizokufanya uamue kuchukua hao watoto wadogo kukaa nao. Unajua bwana tuambiane kweli, watoto aw ndugu ni ngumu sana kukaa nao, hasa kwa sisi wamama. Hata watoto aw ndugu zetu....... Mimi hili huwa sitaki kabisa kulisikia. Kama ndugu ana shida ya kusomesha nitasaidia ada na matumizi mengine lakini akiwa kwa wazazi wake, na kama ni mkubwa basi nitawapeleka boarding schools, likizo wanaweza kuja kwangu au kwa wazazi wao.<br>wababa Mara nyingi hamshindi na watoto nyumbani......kwa hiyo mara nyingi ni vigumu kujua nini kinaendelea. Wamama wengi wanakataa kuishi na ndugu kwa sababu mwisho aw siku mtu unapata lawama tu.<br>zamani ilikuwa rahisi sana kukaa kwa ndugu sababu watoto wengi hawakuwa wasumbufu, siku hizi........<br>huwa nawachekesha ndugu zangu/mume kuwa anayetaka wanawe waje waishi kwangu, wajiue........yaani nitakaa na watoto aw ndugu ambao wazazi wao wote wamekufa.
 
kwa expirience yangu niliopitia.....
Ya kusaidia ukoo mzima......

Acha nipite kimya kimya hapa......

Ila kwa ushauri mdooooogo hao ndugu zenu hamuwezi kuwasaidia huko waliko mpaka ndugu woote wa mume , wa mke warundikane hapo? Watu mkose hata nafasi ya kuja**a?

Na ndugu wanapokuja wanafata sheria, kanuni na taratibu za nyumba yako?aka za mkeo? Au ndo wao miguu juu makalio chini? Mpaka chakula watengewe?

Kurundika ukoo mzima hakuathiri ustawi wa wanao? Kesho yao ikoje? wema usizidi uwezo..... Saidia ukoo mzima (hapa nazungumzia ukoo wako na wa mkeo) ukisahau kujiandaa kwa kesho na keshokutwa hao hao unaowasaidia watakucheka hao....

Na huyo mtoto wa darada la pili mlijadiliana na mkeo kuhusu matunzo? Kwa uelewa wangu anahitaji ulezi wa karibu maana atakuwa mdogo, je kumuongezea majukumu hayo mkeo mlijadiliana au uliassume mke yupo atalea?

Sorry nimetoka nje ya mada, ingawa wanasema tenda wema nenda zako kumbuka unapolea ukoo mzima kumbuka na kesho ya wanao...........kumbuka kujiandalia pia uzee wako.....
 
Naishi na mke wangu vizuri tu siku nyingi, lakini familia yangu ni kubwa kiasi kwamba kila baada ya muda fulani napata mgeni wa kuja kututembelea. Kama ni mwanaume kidogo afadhali hata watasalimiana na atamuhudumia at least kiroho safi, mbaya zaidi ni wa jinsia ya kike. Hata kama anajua kabisa ni ndugu japo wa mbali kidogo anakuwa mzito sana kumuhudumia kwa vikwazo kibao mara oooh naumwa/sijisikii vizuri/n.k. ilihali sura ikionyesha dhahiri kwamba hajafurahia ujio wa huyo mtu.

Sasa nimepata bahati ya kuwapata watoto wawili wa kike wa kaka zangu, kutoka kijijini ili waje kujiendeleza kielimu, mmoja ni mdogo yuko darasa la II na mwingine amemaliza la saba nataka angalau apate kozi za kujiendeleza hapa mjini. Sasa wife ananambia ye ataki kuwaona la sivyo ataondoka, na nnavyoandika hapa, ameamua kuondoka kweli leo hii. Lakini siku mbili baada ya hawa watoto kufika kwangu, na mdogo wake pia ambaye amekuja kusoma chuo naye alifika kwangu na anaishi kwangu na anasoma chuo kwa gharama zangu!

Hivi ni kweli niachie hawa watoto warudi nyumbani ili nikae na mke na shemeji yangu ndani, au nimwachie mke aende sababu njia zote za kujaribu kumwelimisha mke wangu juu ya jukumu na umuhimu wangu kuwasaidia watoto hawa amezikataa, hataki kabisa kuongea juu yao.

Naomba ushauri wenu.
kaka achana na kuendekezq lazy people.extended family mambo ya zamani
 
We baba utakufa na pressure bureeeeee ukiendekeza hiyo vita baridi!!!!!!!!!!!! Dawa ya baba Lara 1 akimleta ndugu yake anamwambia kabisaaaa mama lara 1 hapendi wageni mnavombana ndani mwake, wewe jielewe fanya lililokuleta usiingie kwenye kumi na nane zakeeee! Maisha si mchezo we kaza roho fanya yako ujikomboe!!!!!!!!! UKIMKOROFISHAAAA MI SIMOOOOOOOO!!!! USINITEGEMEE KABISA KATIKA SAFU YA UTETEZI WAKO!!!! We waache wakae hivo hivo jiweke pembeni waangalie wakimalizana wenyewe kwa wenyewe, baadae watazoeana!!!!!!!!!

Basi wakuja akiambiwa hivo anakaa kwa adabu, full kupiga cargo, hadi mama lara anaanza kumwambia usirudi kijijini banaa mambo gani ya kushika mbolea, kaa jirembe uolewe huku town. LASIVO WATU WA KIJIJINI WANA TABIA YA KUJISAHAAU NA KUJIONA WANA HAKI SAWA NA MAZA HOUSE JST BECAUSE NI NDUGU ZAKO!!!!!
Watu wanapenda matatizo jamani
 
umeona enh!
tena hawa ni debe la moto wanachoma uspime, hawabebeki asilan.[/QUOTE
Ni heri ya kuolewa na mwanaume Tajiri .maskini na matatizo yake lazima yakufuate.


hapo red ndo penyewe yaani hata mm nilisemaga sioi hadi niwe tajiri, na leo hii ni tajiri sana na nina mke na watoto tu nyumban kwangu. wao wameshazoea maisha ya complete breakfast sio chai andaz na mlo ni 3coursemeal, wanashop classic shops.
 
am a conservative democrat, but i don't give a damn extended families. i live with my family only sitak kupoteza muda na ndugu wasio na msaada.

ahaaaaaaaaaaaa! Ticha ndo umetema vitu hizooooo design za kifisadi kama mtoto Nata??????????? Daaaaah! I cant believe this!!!!!!!!!!!
 
Ushauri wangu umeshatolewa na BADILI TABIA, kutenbea waje lakini kuishi?????

Unasema ndugu wa kiume anawahudumia vizuri, nini hicho? Wa kike si wanaweza kujihudumia au wapelekewe maji bafuni? Umeoa mke au house maid?

Ndugu wake au wa kwako kama mnataka kuwasomesha wasomesheni huko waliko au wapelekeni boarding. Mtaepusha maneno na magomvi yasiyo ya lazima.
 
Last edited by a moderator:
usiwe na presha mrudishe mkeo bwana. alafu huyo dawa yake moja tuu...tembea na shemeji yako. itamuuma sana. yeye ndugu zake waje wako wasije! alaah!!!
 
Sijajua ndoa yako ni ya aina gani, ila kama ni ile ya mme na mke mmoja na umeapa kisitokee kitu chochote kukutenganisha na mkeo zaidi ya kifo inabidi ukae chini na uchukue hatua za busara na usitumie jazba kwani jambo hili ukilikosea linaweza kuwa laana KWENU nyote milele. Nakushauri ukae na mkeo mkubaliane mambo ya msingi ambayo yatawafanya mdumu kwenye ndoa yenu ikiwemo status za ndugu zenu. Ninavyoona mkubaliane tu ndugu wasiishi nanyi nyumba moja kwa muda mrefu, labda kama wanakuja kuwasalimia kwa siku chache....vinginevyo wasaidiani ndugu zenu huko walipo au tafuta njia nyingine....mifano ni mingi sana ya ndoa zilizovunjika au ambazo hazina furaha kwa sababu ya kutokubaliana mambo ya ndugu.....Ni kweli wewe ni Kichwa cha nyumba, ila haina maana wewe ni dictator.....wekeni mawasiliano na mtafanikiwa..kwani matatizo mengine makubwa zaidi ya hayo yatakuja....usipojua jinsi ya kuwasiliana na kukubaliana utaishi maisha ya kujuta siku zako zote....na mbaya zaidi kama una watoto....tumia busara....kulala na mdogo wake sio suluhisho la kudumu....sanasana ni kutafuta laana...Ubarikiwe
 
inaelekea unamambo ya watu waTanga, kujaza nyumba ndugu. huyo mdogo wake na watoto wa kaka yako, wote warudi makwao uwalipie ada na misaada mingine huko huko.
sio uchoyo, nyumba kujaa watu ni kero, mtu huwezi ztz kua na bites na makorokoro yenu mkajipanga na mazumizi hadi ya luxury...maana hapo ni kupiga basic tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom