Naomba ushauri, Huyu dada ananikosesha usingizi!

:confused:

Nashukuru mkuu, maana huu pia ni ushauri kutoka kwa great thinker!

MKUU saa nyingine unajibiwa upumbavu kwa sababu ya maswali ya upumbavu, hivi kweli kwa umri ulionao mpaka ukawa nje ya nchi na ukawa na akili ya kutafuta, apartment unaleta humu jamvini kwa Magreat Thinkerz swali la ujinga kabisa, unataka upewe ushauri gani kwa swali la umbumbavu namna hiyo,
 
kama wakianza kula mautamu yao na kelele zikiwa juu we kama una muziki weka headfones zako vizuri au kama unami phone kula mziki wako ujipotezee au kitu kingine usimfikiirie huyo dada muhesabu kama changudoa fulani kama wa pale kwa macheni bongo,PIGA SHULE UTAMU UPO TU UTAUKUTA
 
MKUU saa nyingine unajibiwa upumbavu kwa sababu ya maswali ya upumbavu, hivi kweli kwa umri ulionao mpaka ukawa nje ya nchi na ukawa na akili ya kutafuta, apartment unaleta humu jamvini kwa Magreat Thinkerz swali la ujinga kabisa, unataka upewe ushauri gani kwa swali la umbumbavu namna hiyo,

Jibu sahihi kabisa hili!
 
MKUU saa nyingine unajibiwa upumbavu kwa sababu ya maswali ya upumbavu, hivi kweli kwa umri ulionao mpaka ukawa nje ya nchi na ukawa na akili ya kutafuta, apartment unaleta humu jamvini kwa Magreat Thinkerz swali la ujinga kabisa, unataka upewe ushauri gani kwa swali la umbumbavu namna hiyo,

Kituko, inabidi tu nikubali comments zozote ingawa zingine zinakukwa na ukali wa maneno, na pia wakati mwingine unaweza fikiria kuwa ni maswala ya kipumbavu kwako kumbe kwa ndugu yako, anakuwa ameshindwa kabisa anahitaji msaada, hasa katika hili, nilikuwa nimezidiwa sana, lakini kupitia hili jamvi, nimepata nguvu pia, kweli upo ushauri mzuri hapa nimepokea na pia wapo ambao wameshauri katika wepesi, ila mkuu samahani kama hii mada imekuidhi, sijui nitaindoaje humu maana hiyo haikuwa dhamira yangu, nilitaka tu ushauri kwa yale yaliyokuwa yamenisibu huku ughaibuni!
 
Du kweli una hali ngumu,ila nunua redio tu mzoki mkubwa au ondoka kabisa wakati wa tukio ikitaka kukomaaaaa lazima uta aaaa do tu
 
Mwana ushauri wa Nemesis ni mzuri, kwani Radio huko ni ghali? nunua hata ya mkulima aki-import tu sauti weka juu kiaina isizidi sana wakakuitia police kwa sound pollusion.
 
Dah! ndg yangu huko noma! kama vp samehe pango tafuta sehemu nyengine au jaribu kuongea naye n umweleze hali halisi! kama mstaarabu atakuelewa.... mambo ya migoma muhimu.
 
kaka unachotakiwa kufanya ni kumwambia ukweli huyo dada kuwa kelele zake za mahaba zinakupa uchizi coz kukaa kimya kutakufanya ukose raha mwaka mzima na inaweza kupelekea kufanya ngono usizo tarajia.Kama njia hii unaona noma kanunue redio kubwa yenye sound nzito ili ukisikia anaanza kelele wewe washa redio kwa sauti itakayokufanya usiskie sauti zake za vishawish.it's me arthur enock of UDSM
 
Kwanza jiangalie we mwenyewe ni nini umekwenda kufanya huku!! ni kusoma... Then wakati wa pilika pilika chumba cha jirani, jaribu kuwa busy na mambo mengine na usiwe attn na minunguniko ya jirani.. Usipo weka mawazo yako huko utaweza ishi hapo ulipo.
 
Ila sitaki kuchanganya mapenzi ma masomo, nataka kukamilisha lengo ili baadae nirudi kuongeza nguvu katika nchi yangu.
ina maana wewe ni bikira?gonga nyama iyo itatuliza mizuka yake kwani atajua kipozeo kipo karibu
 
Duu......siku nyingi sana sijachangia mada humu lakini nalazimika leo ili nikusaidie mdogo wangu....

Hii ngoma lazima uitandike tena kikamilifu, hakikisha unaipa mchezo ambao haijawahi kupatiwa maishani mwake, ukifanikiwa kwenye hili- makelele yatakuwa yanapigwa pale wewe mwenyewe unapotaka yapigwe! Simple. Ukimkamua vizuri atataka kuliendeleza na wewe na huo ndo utakuwa mwisho wake yeye kuleta mijamaa mingine hapo geto kwake kwa hofu ya kuikosa dozi yako special, hata akiamua kumegwa atakuwa anaenda viwanja vya ugenini.

Kazi na dawa mdogo wangu, ukinga'ang'ana na mijitabu tu lazima utafeli, lazima siku mojamoja nyakati za jioni ulegeze msuli kidogo na Mungu akupe nini tena? Ngoma ya ubwete hiyoooo mlango wa pili tu, wenzako wanaingia magharama kibao kwa kupiga kabao kamoja tu, go for it son!
 
Duu......siku nyingi sana sijachangia mada humu lakini nalazimika leo ili nikusaidie mdogo wangu....

Hii ngoma lazima uitandike tena kikamilifu, hakikisha unaipa mchezo ambao haijawahi kupatiwa maishani mwake, ukifanikiwa kwenye hili- makelele yatakuwa yanapigwa pale wewe mwenyewe unapotaka yapigwe! Simple. Ukimkamua vizuri atataka kuliendeleza na wewe na huo ndo utakuwa mwisho wake yeye kuleta mijamaa mingine hapo geto kwake kwa hofu ya kuikosa dozi yako special, hata akiamua kumegwa atakuwa anaenda viwanja vya ugenini.

Kazi na dawa mdogo wangu, ukinga'ang'ana na mijitabu tu lazima utafeli, lazima siku mojamoja nyakati za jioni ulegeze msuli kidogo na Mungu akupe nini tena? Ngoma ya ubwete hiyoooo mlango wa pili tu, wenzako wanaingia magharama kibao kwa kupiga kabao kamoja tu, go for it son!

...utamfanya (Zurich) aanze kupiga kelele yeye hapo!... :D
 
Duu......siku nyingi sana sijachangia mada humu lakini nalazimika leo ili nikusaidie mdogo wangu....


Kazi na dawa mdogo wangu, ukinga'ang'ana na mijitabu tu lazima utafeli, lazima siku mojamoja nyakati za jioni ulegeze msuli kidogo na Mungu akupe nini tena? Ngoma ya ubwete hiyoooo mlango wa pili tu, wenzako wanaingia magharama kibao kwa kupiga kabao kamoja tu, go for it son!


mmmmmmnh kaazi kweli kweli yaani hapo hujachangia siku nyingi nikadhani utampa wasia wa maana mdogo wako. mwenyewe antaka kungoja mpaka siku ya ndoa ..mwazidi kum-lead astray! Haya we!
 
Last edited:
Nimepanga chumba katika flat ambayo tuko watu 4, wote ni wanafunzi,kutoka nchi tofauti(Spain, Peru,Poland, ) akiwemo dada mmoja, mtu wa Poland, kwa kweli huyu dada anapenda ngono maana nina siku tatu tu tangia nihamie hapa na tayari ame-import(awala) mara mbili na kibaya zaidi chumba chake kinatangamana na chumba changu, kelele zote za mahaba nazisikia live kana kwamba ziko uvunguni mwa kitanda changu, na kibaya zaidi upatikanaji wa apartment katika mji huu ni taabu kweli kweli, na tayari nina mkataba wa mwaka mzima wa kukaa hapa, ndugu zangu nifanyeje, maana hivi vishawishi vinaamusha tamaa kwelikweli lakini nataka nijiepushe hadi nitakapofikia muda wa kuoa, najua hapa kuna great thinkers naomba ushauri wenu.



kama vipi mchane live tu kwamba anakuboa na kelele zake, kama hakuelewi akiwa anafanya mambo yake mfuate gonga mlango washa moto wa kufa mtu, asipo aelewa kabisa mtongoze uwe unamega kisela kwenye geto lako na kumuhamishia kwako kabisa.
 
Huyo ndege yupo mikononi mwako. Mlenge atapata adabu. nina maana jiunge kwenye hiyo list ndefu ya waliomla. ama sivyo utapata shida sana.kwani unachosubiria mpaka uoe ni nini? au unafikiri ukitanguliza ya mkeo kwanza ndo utakuwa husumbuliwi tena na ishu hizo? Mle huyo ndio atakuwa na akili. wala hawezi kuklung'ang'a nia, si utamwambia unamchumba?
 
Back
Top Bottom