Nimepanga chumba katika flat ambayo tuko watu 4, wote ni wanafunzi,kutoka nchi tofauti(Spain, Peru,Poland, ) akiwemo dada mmoja, mtu wa Poland, kwa kweli huyu dada anapenda ngono maana nina siku tatu tu tangia nihamie hapa na tayari ame-import(awala) mara mbili na kibaya zaidi chumba chake kinatangamana na chumba changu, kelele zote za mahaba nazisikia live kana kwamba ziko uvunguni mwa kitanda changu, na kibaya zaidi upatikanaji wa apartment katika mji huu ni taabu kweli kweli, na tayari nina mkataba wa mwaka mzima wa kukaa hapa, ndugu zangu nifanyeje, maana hivi vishawishi vinaamusha tamaa kwelikweli lakini nataka nijiepushe hadi nitakapofikia muda wa kuoa, najua hapa kuna great thinkers naomba ushauri wenu.
Last edited: