Babu mchumi
Member
- Jul 5, 2011
- 62
- 11
Habari zenu tha great thinkers!
Nitangulize shukran kwa watakao nielewa vizur,mimi ni kijana wa kiume umri(24) naishi dar,natarajia kujiunga na chuo mwaka huu
jaman natafuta kazi ambayo nataraj itanisaidia kupata fedha zitakazonisaidia kuendesha shule yangu kwan hali ya wazaz wangu kiuchumi sio nzur na umri unazidi kwenda naelekea kujitegemea,elimu yangu ni form six nilipata dv 1.8 HGE
nimeamin nitafanikiwa kupitia humu
natarajia lugha nzuri kwa wana Jf,much thanks
Nitangulize shukran kwa watakao nielewa vizur,mimi ni kijana wa kiume umri(24) naishi dar,natarajia kujiunga na chuo mwaka huu
jaman natafuta kazi ambayo nataraj itanisaidia kupata fedha zitakazonisaidia kuendesha shule yangu kwan hali ya wazaz wangu kiuchumi sio nzur na umri unazidi kwenda naelekea kujitegemea,elimu yangu ni form six nilipata dv 1.8 HGE
nimeamin nitafanikiwa kupitia humu
natarajia lugha nzuri kwa wana Jf,much thanks