Mkuu mjukuu wa facebook!jf is never boring these days..lol
Si nilisikia kachumbiwa hivi majuzi!....Naomba Bebii uni-PM tafadhali,naona unafaa kuwa mwenzi wangu wa maisha.
Mkuu nataka nione kama ananikubali.....maana niki-PM naona nitaonekana kimeo.
Bebii si ana mume na watoto wanne?, au CV yake nimeichanganya na ya Faizafoxy?
Wewe si ndo wa kwanza nakumbuka ulimpa hongera kwa kupata watoto wanne bila operesheni? Husninyo banalawyer aka mhadhiri lete ushahidi hapa
Wewe si ndo wa kwanza nakumbuka ulimpa hongera kwa kupata watoto wanne bila operesheni? Husninyo bana
Bebii si ana mume na watoto wanne?, au CV yake nimeichanganya na ya Faizafoxy?
If yu kanti bit zem, konfyuz zem.konflikt of interesti..
Khaaa! unatafta kasababu ka kukataa mahari yangu sio?mi nilikupa wewe hongera, kumbe bebii ndio my waif wako. lol
If yu kanti bit zem, konfyuz zem.
Halaf kamanda unaenda hijja nini?
Khaaa! unatafta kasababu ka kukataa mahari yangu sio?
Halaf huwez kuamini bana, sku hizi mzembe hata breakfast nakula chips kuku. kulaleki!