Naomba uchumba na bebii wa hapa jf.....

only83

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
5,343
2,525
....Naomba Bebii uni-PM tafadhali,naona unafaa kuwa mwenzi wangu wa maisha.
 
Ndiyo wale wale mnaojiingiza kichwa kichwa, mkiambiwa kutoa ng'ombe wanne wa kinyankore mnakimbilia kulalamika hapa jamvini. Kama maandalizi yako hafifu tulia usitafute matatizo.
 
If yu kanti bit zem, konfyuz zem.

Halaf kamanda unaenda hijja nini?

niko kwenye kale ka mpango ka kumtwanga shetani na mawe....
halafu hyu dogo ananichanganyia habari....mi huku nilikuwa nashona nyavu za kumvulia huyu bebii halafu yeye anaenda pablik bana....ah! sichelewi kumgeuzia huyu dogo kibla!
 
Khaaa! unatafta kasababu ka kukataa mahari yangu sio?
Halaf huwez kuamini bana, sku hizi mzembe hata breakfast nakula chips kuku. kulaleki!

hahahahaha, nikikumbuka mahali ya yule ng'ombe shoga uliyemleta home mi nachoka. hatupokei tena mahari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom