Likuyuseka
Member
- Feb 14, 2011
- 50
- 42
Hata mi nashangaa....wakati ladha ya biya inajulikana....wanahangaika na kuweka mbwembwe kibao kwenye chupa....
Conclusively.....packaging matters a lot!
Conclusively.....packaging matters a lot!
Mimi huwa nawatamani kama namba moja kama wewe ila wawe warefu atleastheheeee TB bwana mie niko kama namba moja, na wala si mrefu
unamaanisha package gani Mkuu? mshindo nyuma au ?Hata mi nashangaa....wakati ladha ya biya inajulikana....wanahangaika na kuweka mbwembwe kibao kwenye chupa....
Conclusively.....packaging matters a lot!
s, m, l, xl, xxl, xxxlkama wewe ni no 1
basi wivu unakusunbua ukiona wenzio wanapata attention
so ushauri wangu ,tafuta mchina ujiondoelee stress
leo ndio naelewa alichokifuata Dada Wema Sepetu kwa Kaka DiamondKumbuka asili ya ngono ni kuzaa (originaly) na animal kingdom inatumia sex kwa kuendeleza ukoo wa species. Sasa kwa mwanaume, yule mwanamke mwenye ****** ndie anaonesha zaidi dalili za afya na dio ubongo unamtamani. Wanawake tunavutiwa na wanaume wenye musce kubwa sababu in our sub-conscience mwanaume anatakiwa aku-protect.
Vile dunia inaendelea survival inazidi kutegemea vitu tofauti. Mfano: kuna dalili kwamba in big cities wanawake huvutiwa zaidi na wanaume wenye akili zinazo challenge ya kwao. Sababu deep inside wanawake wameanza kuelewa kwamba ujanja ni muhimu kuliko phisical strength. Pia kuna wanawake wanavutiwa na mwanaume anae vaa vizuri ao kupaka marashi ya kunukia. Hizo ni dalili za financial stability ambazo siku hizi ni muhimu kwa survival. Kweli kuna wengine wanaiga tu zababu wengine walifanya hivo ila hawaridhiki na choices zao.
Kuvutiwa kingono kunaweza saidia kumtambua mtu anae vutiwa ana wasiwasi gani na wapi anategemea kuata stability na pia ni kitu gani anaona muhimu kwa kuendeleza ukoo wake. It is in the sub-conscience so you can't fake it
s, m, l, xl, xxl, xxxl
easy to carry, easy to find the specific needed area compared those big womenndo hapo sasa utuambie hiyo namba moja unayotamani inaupelekeaa vipi au inahusisha vipi ngono? hope nimeuliza vyema
mkuu
hiyo ni french au latino????????/lol
Duh!! Una macho hivi mimi ningebadilisha unge-notice mapema kama ulivyoona hii ya russian lolrussianroulette umebadili avatar naona
duh
Boss akili yake imeishakamatika kwenye AvatarTB kwani hujamwelewa hapo amemaanisha small, medium, large, extra large, extra extra large, na extra extra extra large
Boss akili yake imeishakamatika kwenye Avatar
Duh!! Una macho hivi mimi ningebadilisha unge-notice mapema kama ulivyoona hii ya russian lol
mkuu
kama na wewe utatuwekea avatar ya chu.pi nyekundu
wengi tuta notice aisee lol
mkuu
kama na wewe utatuwekea avatar ya chu.pi nyekundu
wengi tuta notice aisee lol
Hhahahaha!!! Kudadekiii mnataka makwenzi nyieSipati picha TF na chu....pi nyekundu
Hhahahaha!!! Kudadekiii mnataka makwenzi nyie
Yeah, nilibadili mara ya kwanza ila nikaona imekaa sexual zaidi. Huoni gun, unaona chu...pi. Nimebadili tena nimeweka hiyo ya black and white. How do you like it?russianroulette umebadili avatar naona
duh