Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
1. MWANAHARAKATI;hana nia ya kupata ubunge,udiwani wala cheo chochote KISIASA lakini POLITICIAN lengo lake ni kupata ivyo vyeo/nafasi
2. MWANAHARAKATI;lengo lake kubwa ni kuikosoa serikali na kuisemea jamii kwa serikali nini inataka LAKIN POLITICIAN lengo lake si kuipundua/iitoe serikali kwa hayo mabaya atakayokosoa
3. MWANAHARAKATI;hana posho/ruzuku bt POLITICIAN have t
4. MWANAHARAKATI;they come n go accordingly to matukio/needs LAKIN POLITICIAN yeye yupo tu anaweza kuwa kwenye chama tangu mwaka 1977 mpk 2011 mpk lengo lake la kugombea kupata post aliyoidream itokee
5. MWANAHARAKATI ;mara nyingi anakuwa sio KILAZA lakin POLITICIAN wengi wanakuwa vilaza/elimu nehiii ili mradi tu awe anajua kupiga domo/anajua kupika majungu na kaushirikina kdg plus na umalaya wa kuchukua wake/waume za watu basi we ni mwanasiasa bora
6. MWANAHARAKATI; yupo up to date ,anasoma mavitabu,imtandao mara nyingi,anasoma majarida ,anahudhuria mikutano na makongamano yenye tija na siyo mvivu wa kufikiri LAKINI MWANASIASA yeye han uo mda wa kusoma wala kuperuzi what new yeye mda wake wote ni wakutafuta wabaya wake/wasaliti wake na kwenda kwa waganga (since hawajiamini awa mbuz)
7. MWANAHARAKATI ;anakuwa yupo karibu na wananchi kusikliliza shda /needs zao lakin mwanasiasa hana mda wa kukaa na wananchi yeye mda anao wa kukaa na WAMAMA WA BARABANI..(NYERERE atumiii neno changudoa utamsikia tu akisema ..yule bwana alikamatwa na mamammoja wa barabarani...)
8. MWANAHARAKAT ;ANAPENDA HAKI wakat POLIRTICIAN hapend wala hataki kusikia kitu haki ndo mana wanajipangia posho kuubwa wakat kule namtumbo hawana ata zahanat
9. MWANAHARAKATI;hazai ovyo kila mtaa ana mtoto LAKIN POLITICIAN kila mtaa ana mtoto,ana mke
10. MWANAHARAKATI;sio mnafiki,mzandiki lakin politician ni wanafiki na wazandiki
NOTE;
unaweza kuwa mwanasiasa na mwanaharakat at the samae time...kwa mifano apo juu najua ushawajua akina nani ni wanasiasa na wanaharakat kwa pamoja na akina nani ni WANASIASA TOTALLY..IN grand total..!!!!!
nawasilisha ..naenda kutwanga kisamvu mie nkapike kwa raha zangu..m kitchen activist..n u? wu r u?
pamoko.
nimeipenda hii maneno!