KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Baada ya kuvuliwa gamba.
kuna sehemu alisema "Sisi wadogo tumejiuzulu ili kukinusuru chama, ila walipaswa na viongozi wa juu wajiuzulu pia"
Kauli hii inautata wakuu. Viongozi wake wa juu ni akina nani?
kuna sehemu alisema "Sisi wadogo tumejiuzulu ili kukinusuru chama, ila walipaswa na viongozi wa juu wajiuzulu pia"
Kauli hii inautata wakuu. Viongozi wake wa juu ni akina nani?