Naomba speech ya makamba

KakaJambazi

JF-Expert Member
Jun 5, 2009
18,711
12,067
Baada ya kuvuliwa gamba.

kuna sehemu alisema "Sisi wadogo tumejiuzulu ili kukinusuru chama, ila walipaswa na viongozi wa juu wajiuzulu pia"

Kauli hii inautata wakuu. Viongozi wake wa juu ni akina nani?
 
Ile hotuba kwa maoni yangu ilikuwa imejaa viloja vingi; Alianza kwa kufuru, kwa maana ya kujilinganisha na Yesu (ule usemi "mnaniona na muda mfupi hamtaniona tena kwakuwa nakwenda kuwaandalia makao," ni wa Yesu). Baadaye akatamba ya kuwa watu walitaka ahenguliwe peke yake lakini hilo lisingeliwezekana kwakuwa hakuwa akifanya kazi peke yake. Zaidi ya hapo alionyesha hisia zake zinazo ashiria kwamba haamini kuwa hatua za kumtosa yeye zitaitakasa CCM. ndiyo maana aliwatahadhalisha wale waliochukua nafasi yake kwamba na wao wataendelea kulalamikiwa.
 
Back
Top Bottom