Nadhani tungelifahamu kabila lako wewe Uda ingekuwa vizuri sana kwabla ya kuanza kukuambia wapogoro walivyo, halafu mpaka mmefikia so called uchumba hujamsoma tu bado huyo mpogoro wako..??
Kwa kifupi wapogoro wako pouwa sana, hawajapitapita skuli lakini wapo care sana kwa watu wao...nitakumwagia mengi endapo nitajua kabila lako kwanza!!
Ndugu Tall kwa kweli upo right kwa sana.
1.hawa jamaa wa kipogoro kwa mapenzi wapo juu sana - kama wangoni
2. Wana mapenzi ya dhati sana, wakisema wamependa wanamaanisha hivyo
3. Wavumilivu na wastahimilivu sana - hata akijua kuwa mwanamke ana tabia isiyofaa huwa wanavumilia
4. Kujenga mahusiano mazuri sana na ndugu wa upande wa mke
5. Dada Uda kwa kweli umelamba bingo. Unaweza kuni pm nikakupa data zaidi ambazo ziwezi kuzimwaga hapa kwa kuwa watu wengine wana roho mbaya. Baada ya kukusaidia wamebakia kubeza tu
Hamjanisaidia jamani![/QUOTE]
Kama umekolea we si ujitose tu. Vikikushinda njoo Unguja. Vidume tupo. Twaoa hadi wanne siye
Unataka sifa gani? Nikikuambia wanapenda ule mtandao wa TIGO je utikuwaje?
Wanaume wa kipogoro sifa zao kuu ni wapole ila wengi wao huwa ni walevi ila kwa kiasi fulani hujali sana familia zao.Ni hayo 2 nayajuayo kama kuna mwingine anajua 2msaidie dada ye2 ili aweze kufahamu sifa za wanaume wa kipogoro.Hamjanisaidia jamani!
Mengine yapi hayo tena.asante! tena username yako inaonyesha kama shemeji yangu vile!ila naogopa kuku-pm yasije tokea mengine lol.
Acha uongo ndugu yangu,sio kweli kuwa tabia hizo wapogoro wote wanazo jaribu ku2mia neno baadhi kwani wapo wapogoro wengi 2 wana tabia nzuri.Ni waongo, Ni wabinafsi, Ni wajeuri, Ni wazinzi, Ni wezi, Ni MAFISADI
Naomba mnishauri nimempata mchumba wa kipogoro,hivi wanaume wa kabila hili wana sifa gani?
Ni waongo,
Ni wabinafsi,
Ni wajeuri,
Ni wazinzi,
Ni wezi,
Ni MAFISADI
Naomba mnishauri nimempata mchumba wa kipogoro,hivi wanaume wa kabila hili wana sifa gani?
Ni waongo,
Ni wabinafsi,
Ni wajeuri,
Ni wazinzi,
Ni wezi,
Ni MAFISADI