Naomba sifa za wanaume wa wakipogoro

Nadhani tungelifahamu kabila lako wewe Uda ingekuwa vizuri sana kwabla ya kuanza kukuambia wapogoro walivyo, halafu mpaka mmefikia so called uchumba hujamsoma tu bado huyo mpogoro wako..??
Kwa kifupi wapogoro wako pouwa sana, hawajapitapita skuli lakini wapo care sana kwa watu wao...nitakumwagia mengi endapo nitajua kabila lako kwanza!!

mi ni mmang'ati.naomba uyaseme yote si unajua inawezekana anaficha kwa sasa!
 
Ndugu Tall kwa kweli upo right kwa sana.

1.hawa jamaa wa kipogoro kwa mapenzi wapo juu sana - kama wangoni
2. Wana mapenzi ya dhati sana, wakisema wamependa wanamaanisha hivyo
3. Wavumilivu na wastahimilivu sana - hata akijua kuwa mwanamke ana tabia isiyofaa huwa wanavumilia
4. Kujenga mahusiano mazuri sana na ndugu wa upande wa mke
5. Dada Uda kwa kweli umelamba bingo. Unaweza kuni pm nikakupa data zaidi ambazo ziwezi kuzimwaga hapa kwa kuwa watu wengine wana roho mbaya. Baada ya kukusaidia wamebakia kubeza tu

asante! tena username yako inaonyesha kama shemeji yangu vile!ila naogopa kuku-pm yasije tokea mengine lol.
 
Unataka sifa gani? Nikikuambia wanapenda ule mtandao wa TIGO je utikuwaje?

utakuwa umenisaidia sana!!lazima mjue mwenzio, mara nyingine anahitaji tigo afu we huna habari au hupendelei hapa si ndo chanzo cha kutengana,bora nijue mapema ili niamue if im in or not!!!
 
Hamjanisaidia jamani!
Wanaume wa kipogoro sifa zao kuu ni wapole ila wengi wao huwa ni walevi ila kwa kiasi fulani hujali sana familia zao.Ni hayo 2 nayajuayo kama kuna mwingine anajua 2msaidie dada ye2 ili aweze kufahamu sifa za wanaume wa kipogoro.
 
Ni waongo, Ni wabinafsi, Ni wajeuri, Ni wazinzi, Ni wezi, Ni MAFISADI
Acha uongo ndugu yangu,sio kweli kuwa tabia hizo wapogoro wote wanazo jaribu ku2mia neno baadhi kwani wapo wapogoro wengi 2 wana tabia nzuri.
 
nitakupa sifa ya wanaume wa kipogoro, na morogoro yote...kwa kifupi, wao ni wasemaji sana, wana maneno meeengi, piga porojo, wavivu, wanapenda sana ubwabwa na magimbi, usisahau nyanyachungu na mihogo...hawaachi kuwa na nyumba ndogo, wanapenda sana kuuza machungwa, maembe na biashara ndogondogo, ndizi etc...kwa kifupi, wengi wao huwa wanaridhika na kumenya machungwa na kuyauza, kulima nyanyachungu, kunywa mnazi etc, hawataki mambo makubwa kama kuwa na kampuni, kutafuta pesa kwa hali na mali etc. upo hapo?

haya nipe kabila lako nikupe sifa zenu pia.
 
"Wabishi sana!hivi vijamaa ni vibishi mno.lakini ni watu makini sana na wanapenda kuwa na watoto wengi jiandae mama" kuna mtu kaniambia hivyo!
 
Ni waongo,
Ni wabinafsi,
Ni wajeuri,
Ni wazinzi,
Ni wezi,
Ni MAFISADI

Haswa umepatia ni watu wanaopenda kwa kutegemea wanawake, hapo ulipo siajabu amesha hamia kwako. Pia niwatu wenye matumizi mabaya hela na hulewa kiasi cha kudharau au kushindwa kwenda kibaruani, kiufupi akipata hujisahau hatakile kinacho muweke mjini.
 
Naomba mnishauri nimempata mchumba wa kipogoro,hivi wanaume wa kabila hili wana sifa gani?

Una taka Mchumba/Mume au Kabila? Kwa mtazamo wangu tabia ya mtu inasababishwa vingi ikiwa ni pamoja na Makuzi, Sidhani kama kabila lina nafasi sana kwny hilo.
 
Shabash!!! Your not greater thinker, but your MAMLUKI
Kaolewe na kabila lenu kama umeanza kuleta ukabila hadi sasa kwenye karne ya 21???
 
Back
Top Bottom