Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Ndugu wanajamii,
Katika moja ya post za jamii forums kuliwahi kuwa na picha niliyoiweka kwenye attachment. Jumatatu nitakuwa na conference na watu fulani wa huko nchini Uholanzi kuhusu changamoto za elimu nchini Tanzania, na namna ambavyo tanzania inaweza kupanua wigo wa ushirikiano na nchi za magharibi katika suala la elimu. Na wameniomba baadhi ya picha za mfano, na nimeona picha hii pamoja na nyinginezo ambazo tayari nimeshapata ridhaa ya kuzitumia, zinaweza kufaa. Actually nimechukua shule zenye hali duni kabisa na zile zilizo katika class ya juu kabisa ili kujaribu kuonyesha tofauti. So moderator, author wa hii picha and other members naomba ridhaa yenu.
Katika moja ya post za jamii forums kuliwahi kuwa na picha niliyoiweka kwenye attachment. Jumatatu nitakuwa na conference na watu fulani wa huko nchini Uholanzi kuhusu changamoto za elimu nchini Tanzania, na namna ambavyo tanzania inaweza kupanua wigo wa ushirikiano na nchi za magharibi katika suala la elimu. Na wameniomba baadhi ya picha za mfano, na nimeona picha hii pamoja na nyinginezo ambazo tayari nimeshapata ridhaa ya kuzitumia, zinaweza kufaa. Actually nimechukua shule zenye hali duni kabisa na zile zilizo katika class ya juu kabisa ili kujaribu kuonyesha tofauti. So moderator, author wa hii picha and other members naomba ridhaa yenu.