ndenga
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 1,788
- 1,302
Pia arudishe hizo 4m
Hizi milioni 4 arudishe ziwe ni mchango wa madawati na vitabu kwa shule za msingi Arumeru
Pia arudishe hizo 4m
Soma heading Mjomba, Kasema anaiomba Radhi Tume na Chadema, Hajasema anawaomba radhi JF membaz, ila JF hapa imetumika kama chombo cha kufikisha habari kwa wahusika!
Acha habari za majungu wewe eti mwanachama mtiifu!
Mimi ni mwanachama wa ccm mwaminifu kabisa.
Tukio la waandishi kupigwa tumelipanga sisi tukiongozwa na katibu wa uvccm wilaya ya monduli Ezekiel Mollel kwa uratibu wa James millya ambae ndio ametoa sh.milioni 4 kunipa mimi na kuwatafuta vijana ambaye kila mmoja nilimpa laki laki kwa kazi hiyo.
Kikao cha kupanga hujuma hiyo ambayo lengo ni kuisingizia chadema tulifanyi Lush Garden kwa Idd alhamisi saa 6 usiku na nikapewa siku tatu kwa utekelezaji zaidi. Millya aliniambia pamoja na Ezekiel kuwa ameagizwa na mzee Sendeka kufanya tukio ambalo kwalo chadema watashutumiwa na kubambikiwa shutuma za fujo kwani ccm wamezidiwa na wamejaribu kila njia zimeshindikana.
NAOMBA RADHI PIA WAANDISHI. NAPENDA MAGEUZI NDO MAANA NIMEJITOKEZA KTK SAFU HII.
Ndugu Mujuni,Kwanza nashawishika,ila wewe unasema ni Mwanachama hai wa CCM tuwekee namba yako ya uanachama.
2.Nakupongeza kwa dhati kwa kujitokeza ndani ya JF ila nikushauri ili radhi yako ipokelewe
na wanaChadema itisha waandishi wa habari toa dukuduku lako tutaamini uyasemayo na tutakusamehe.nawasilisha
tumekusamehe ila itisha press conference uweke wazi zaidi