Hansen Nasli
JF-Expert Member
- Mar 18, 2012
- 883
- 337
Hivi mbunge wa viti maalum akifariki nafasi yake hujazwa?na kama hujazwa je mbunge atakayeteuliwa ni lazima atoke ukanda wake ule au anatoka kokote?na kama hujazwa je nafasi ya regia mtema imejazwa na nani?na katoka wapi?