Blessed Keinerugaba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,711
- 4,642
Husika na mada tajwa hapo juu. Je results slip zishaanza kutolewa?utaratibu wa utoaji ni ule ule wa Sikh zote wa Kwenda wizarani na si kwa Shula husika? Nawasilisha
Samahani,shuleni hamkupewa utaratibu wa kuchukua hizo RS? Wenzako wote uliomaliza nao pia hawajui wanachukulia wapi?
Nenda shuleni kwako.