mbalila, mimi nimekulia na kuishi wilaya ya rombo kijiji cha shimbi kwa kipindi baba anafundisha kilimanjaro boys sec school.Huko kuna ukoo maarufu wa kvango ambao pia hutumia majina ya nyongeza ya kvelia na mbalila.Nilipoona id yako nikadhani watoka rombo ukoo wa kvango.samahani mshikaji wangu kwa kukufananisha.hiyo niliweka alama nyekundu una maana gani?
mbalila, mimi nimekulia na kuishi wilaya ya rombo kijiji cha shimbi kwa kipindi baba anafundisha kilimanjaro boys sec school.Huko kuna ukoo maarufu wa kvango ambao pia hutumia majina ya nyongeza ya kvelia na mbalila.Nilipoona id yako nikadhani watoka rombo ukoo wa kvango.samahani mshikaji wangu kwa kukufananisha.
Nang'sha ndao assenga! Bado ukeri singida?Habari yafo dhauuu
MTU asiye muislam
Mtu aliepigana vita ya pili ya dunia.