Habari zenu wana jf!
Nawaombeni sana ndugu zangu kwa yeyote anayeweza kunisaidia kuondoa tatizo kwenye simu yangu SUMSUNG GT 3212i.
Tatizo:kuna wakati it may take 10 seconds inaandika dsn unavailable sasa inanikera sana,plz kama kuna mtu anaijiua vizuri anisaidie namna ya kuiset.
Nimejaribu nimefika mwisho wa utundu wangu kwenye simu,tafadhali naomba msaada wenu.
nawasilisha .
Nawaombeni sana ndugu zangu kwa yeyote anayeweza kunisaidia kuondoa tatizo kwenye simu yangu SUMSUNG GT 3212i.
Tatizo:kuna wakati it may take 10 seconds inaandika dsn unavailable sasa inanikera sana,plz kama kuna mtu anaijiua vizuri anisaidie namna ya kuiset.
Nimejaribu nimefika mwisho wa utundu wangu kwenye simu,tafadhali naomba msaada wenu.
nawasilisha .