Mi ni mvulana wa miaka 28, Niko single ninatatizo linanisumbua sana na kunifanya nikose amani pindi nikiwapo na faragha, uume wangu huwa unasumbua sana kusimama kila niapofanya mapenzi kwa round ya pili na kuendelea hii huwa inatokea sana kwa mwanamke niliyemzoea ILA nikifanya kwa Mwanamke mpya hali huwa safi kabisa, sasa nashindwa kuelewa tatizo hasa ni nini? Nimewahi kujichua hapo kabla hii inaweza Kuwa athari mojawapo? Nifanye nn tatizo hili liishe? Naomba msaada wenu!