ndupa JF-Expert Member Jan 25, 2008 4,403 141 Oct 3, 2012 #2 kaka hapo sijakusoma!!!! unataka kujua nini??? mchanganuo wa hiyo program au?? au unatakuakujua ada???
kaka hapo sijakusoma!!!! unataka kujua nini??? mchanganuo wa hiyo program au?? au unatakuakujua ada???
M Msabaha lk Member Apr 21, 2012 84 21 Oct 3, 2012 #3 Ama kweli KOBA hakukosea aliposema penye miti hakuna wajenzi. mkwanja kwanza haupewi wewe subiri upewe hilo boom ila chamsingi hapo ni 7500/- kwa siku
Ama kweli KOBA hakukosea aliposema penye miti hakuna wajenzi. mkwanja kwanza haupewi wewe subiri upewe hilo boom ila chamsingi hapo ni 7500/- kwa siku
E EMMANOS Member Sep 20, 2012 14 2 Oct 3, 2012 Thread starter #4 kaka nilichotaka kujua nitachangia shilingi ngapi? Ada kwa mwaka?
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,825 24,776 Oct 3, 2012 #5 Hela zote hizo utapeleka wapi aisee? Inabidi uoe