Hassani
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 697
- 1,117
Habari zenu wakuu wangu,kwa ufupi mimi najifunza C++,natumia dev c++ compiler,tatizo langu liko kwenye kutumia header files,pamoja na kutumia mifano toka kwenye kitabu bado compiler inaniletea linker error,nachokifanya ni kucreate new project,then naandika class file with "h" extension,napoandika program yangu nainclude "myfile.h",lakini mwisho wa siku inaniambia[linker error] undefined reference to..,so naomba wataalam wa hii kitu wanisaidie.