Habari leo wanajamii, cmputer yangu ilikua inatumia microsoft office 2007 ikapata tatitizo ikabidi niiformat. baada ya kuuiridisha katika hali ya kawaida nimekosa microsoft office 2007 ikabidi niweke microsoft office 2003. Baada ya kuweka office 2003, tatizo nililokumbana nalo ni kua docoment karibu zote zimegoma kufunguka na naona kama vile inanisumbua . Naomba mwenye msaada wa jinsi ya kupata microsoft office 2007 anisaidie.