Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,148
- 2,219
husika na heading hapo juu kwa niaba ya walimu wenzangu tulioajiriwa january mwaka huu tumedhulumiwa stahili zetu kwa hiyo naomba mwenye contact za waziri kivuli wa elimu au waziri kivuli wa kazi anipatie ili tuweze kuwasiliana naye tutoe maduku duku yetu coz hata mbunge ambaye ni wa ccm ameshindwa kutusaidia