Naomba msaada wa kupangiwa matumizi

beginner

Member
Dec 6, 2016
12
1
salaam

samahani wana Jamiiforums ,nimepata kiasi cha sh milion 2, nimepewa nikaanzie maisha ila sasa hapo natakiwa nitoe na kodi ya chumba na niangalie nifanye biashara gani!

Binafsi nimepiga mahesabu naona hayaingii vizuri kwa sababu natakiwa kuwa nafanya marejesho maana mzazi kanichukulia mkopo!

Naomba mwenye uzoefu na hali kama hii aweze kunishauri au kunipangia bajeti ya hizi hela katika makundi yafuatayo

a) kodi ya chumba na vitu vya ndani vya kuanzia maisha

b)aina tofauti tofauti ndogo ndogo ntakazoweza kufanya hata kwa kuajiri vijana tofautitofauti ili niweze kufanya marejesho vizuri kwa mwezi na kupata faida!! natakiwa kurejesha laki tatu na nusu kwa mwezi!

naogopa kufanya kitu kimoja alafu kikaja kikabuma nikashindwa kurejesha mkopo huo!!

Mimi ni mkazi wa Dar es salaam, sina familia wala mchumba nipo tu mwenyewe!
karibu!!
 
1:- laki 3.5 kwa mwezi ni benk mpya hiyo au?

2:- wewe una ujuzi gani hasa
1) mkuu ni kwamba nimepewa taarifa hiyo na mtu ambaye yuko anashughulikia kwa sababu yeye yuko mkoani
2) mimi sina ujuzi ila nilitaka niitenge hiyo hela katika vibiashara vidogo vidogo ili nisiweze kukwama baadae
 
- mzazi kakuchukulia mkopo wa milioni 2?

haya tuendelee:

- nenda uishi kwa wazazi wako
- uza simu unayotumia nunua tecno/singsung/hitel zile za 15,000/-
- hapo kwa wazazi, jenga bada la kuku, fuga kuku, otesha mbogamboga.

Ila wajameni;
- ni sehemu gani unakopeshwa milioni 2 halafu marejesho ni laki 3.5 kila mwezi kwa kweli? HESLB?

tuendelee na nadharia yako:
- wakati upo free mchana, yaani haupo bandani wala shambani nenda kanunue mahindi mabichi ukae eneo zuri uwe unauza...sijui kama itakupa hiyo laki tatu lakini chochote utakachopata baada ya mwezi mpe huyo unayetakiwa kumlipa. Akiona yote unayofanya na kama ni mtu mwenye busara ataelewa kwamba hapo umefanya kadri ya uwezo wako.

Mwisho;
- misaada mingine siyo misaada kwa kweli!
 
- mzazi kakuchukulia mkopo wa milioni 2?

haya tuendelee:

- nenda uishi kwa wazazi wako
- uza simu unayotumia nunua tecno/singsung/hitel zile za 15,000/-
- hapo kwa wazazi, jenga bada la kuku, fuga kuku, otesha mbogamboga.

Ila wajameni;
- ni sehemu gani unakopeshwa milioni 2 halafu marejesho ni laki 3.5 kila mwezi kwa kweli? HESLB?

tuendelee na nadharia yako:
- wakati upo free mchana, yaani haupo bandani wala shambani nenda kanunue mahindi mabichi ukae eneo zuri uwe unauza...sijui kama itakupa hiyo laki tatu lakini chochote utakachopata baada ya mwezi mpe huyo unayetakiwa kumlipa. Akiona yote unayofanya na kama ni mtu mwenye busara ataelewa kwamba hapo umefanya kadri ya uwezo wako.

Mwisho;
- misaada mingine siyo misaada kwa kweli!
mkuu nashukuru kwa ushauri wako, ila hiyo laki tatu na nusu kwa milion mbili ni nyingi au kidogo?
 
Nunua boda kama uko vizuri kuendesha.. Kwa siku unaweza tengeneza hadi elfu 15. Ukiendeshea huku vichochoroni risk ni chache.. Ila hakikisha unapata boxer maana ndio zinazopendwa.. Kuhusu kupanga waambie wakuongezee mwezi mmoja ujipange.
..
QUOTE="beginner, post: 18775423, member: 402530"]salaam

samahani wana Jamiiforums ,nimepata kiasi cha sh milion 2, nimepewa nikaanzie maisha ila sasa hapo natakiwa nitoe na kodi ya chumba na niangalie nifanye biashara gani!

Binafsi nimepiga mahesabu naona hayaingii vizuri kwa sababu natakiwa kuwa nafanya marejesho maana mzazi kanichukulia mkopo!

Naomba mwenye uzoefu na hali kama hii aweze kunishauri au kunipangia bajeti ya hizi hela katika makundi yafuatayo

a) kodi ya chumba na vitu vya ndani vya kuanzia maisha

b)aina tofauti tofauti ndogo ndogo ntakazoweza kufanya hata kwa kuajiri vijana tofautitofauti ili niweze kufanya marejesho vizuri kwa mwezi na kupata faida!! natakiwa kurejesha laki tatu na nusu kwa mwezi!

naogopa kufanya kitu kimoja alafu kikaja kikabuma nikashindwa kurejesha mkopo huo!!

Mimi ni mkazi wa Dar es salaam, sina familia wala mchumba nipo tu mwenyewe!
karibu!![/QUOTE]
 
Najua utachukia kusikia nakwambia ukweli ila sina budi kusema na ninasema dhahiri, "marejesho ya laki 3.5 kwa mwezi lazima unyee debe" hutaweza kuipata hiyo kwa mwezi mbali na ile ya wewe kutumia. unajua ili ufanikishe kurejesha unatakiwa angalau upate faida ya 13,000/= kwa siku kiasi ambacho kwa wewe usiye na uzoefu wala wazo la biashara ya kufanya lazima uchemshe kama kitwanga kama hata matumizi tu hujui kupangilia.
 
Najua utachukia kusikia nakwambia ukweli ila sina budi kusema na ninasema dhahiri, "marejesho ya laki 3.5 kwa mwezi lazima unyee debe" hutaweza kuipata hiyo kwa mwezi mbali na ile ya wewe kutumia. unajua ili ufanikishe kurejesha unatakiwa angalau upate faida ya 13,000/= kwa siku kiasi ambacho kwa wewe usiye na uzoefu wala wazo la biashara ya kufanya lazima uchemshe kama kitwanga kama hata matumizi tu hujui kupangilia.
sasa mkuu si unisaidie kunichanganulia kama nilivoomba?
 
Nunua boda kama uko vizuri kuendesha.. Kwa siku unaweza tengeneza hadi elfu 15. Ukiendeshea huku vichochoroni risk ni chache.. Ila hakikisha unapata boxer maana ndio zinazopendwa.. Kuhusu kupanga waambie wakuongezee mwezi mmoja ujipange.
..
QUOTE="beginner, post: 18775423, member: 402530"]salaam

samahani wana Jamiiforums ,nimepata kiasi cha sh milion 2, nimepewa nikaanzie maisha ila sasa hapo natakiwa nitoe na kodi ya chumba na niangalie nifanye biashara gani!

Binafsi nimepiga mahesabu naona hayaingii vizuri kwa sababu natakiwa kuwa nafanya marejesho maana mzazi kanichukulia mkopo!

Naomba mwenye uzoefu na hali kama hii aweze kunishauri au kunipangia bajeti ya hizi hela katika makundi yafuatayo

a) kodi ya chumba na vitu vya ndani vya kuanzia maisha

b)aina tofauti tofauti ndogo ndogo ntakazoweza kufanya hata kwa kuajiri vijana tofautitofauti ili niweze kufanya marejesho vizuri kwa mwezi na kupata faida!! natakiwa kurejesha laki tatu na nusu kwa mwezi!

naogopa kufanya kitu kimoja alafu kikaja kikabuma nikashindwa kurejesha mkopo huo!!

Mimi ni mkazi wa Dar es salaam, sina familia wala mchumba nipo tu mwenyewe!
karibu!!
[/QUOTE]
asante Mkuu
 
sasa mkuu si unisaidie kunichanganulia kama nilivoomba?
Kwanza kabisa ongea na mkopeshaji apunguze marejesho had kufiki 200,000 tu kwa mwezi, pia akupe muda wa miezi miwili ili uweke biashara vizuri kabla ya kuanza kufanya marejesho.
Kisha kati ya hizo m 2 chukua kiasi kisichozidi laki 5 na kiwekeze katika biashara ndogo inayoza kukulipa vizuri kulingana na eneo lako hata kama ni nje ya Dar.
chukua tena laki 2.5 wekeza katika ufugaji wa kuku ambao naamin wanasoko sana hapo Dar ama katika senta yoyote. Hawa utaanza kula mkwanja wake ndani ya miezi michache tu na watakupga tafu sana ktk mtaji na kumalizia kumlipa jamaa ukizingatia utakuwa umeshaanza kumlipa tayari toka kwenye ile biashara ya mwanzo na ya kila siku.
kiasi kinachobaki angalia pia biashara nyingine tofauti ili iingize kujazilizia hiyo laki 2 ya kumlipa mkopeshaji wako.
 
Kwanza kabisa ongea na mkopeshaji apunguze marejesho had kufiki 200,000 tu kwa mwezi, pia akupe muda wa miezi miwili ili uweke biashara vizuri kabla ya kuanza kufanya marejesho.
Kisha kati ya hizo m 2 chukua kiasi kisichozidi laki 5 na kiwekeze katika biashara ndogo inayoza kukulipa vizuri kulingana na eneo lako hata kama ni nje ya Dar.
chukua tena laki 2.5 wekeza katika ufugaji wa kuku ambao naamin wanasoko sana hapo Dar ama katika senta yoyote. Hawa utaanza kula mkwanja wake ndani ya miezi michache tu na watakupga tafu sana ktk mtaji na kumalizia kumlipa jamaa ukizingatia utakuwa umeshaanza kumlipa tayari toka kwenye ile biashara ya mwanzo na ya kila siku.
kiasi kinachobaki angalia pia biashara nyingine tofauti ili iingize kujazilizia hiyo laki 2 ya kumlipa mkopeshaji wako.
asante Mkuu nimekuelewa sana
 
Dah kwanza utakopaje pesa ya kuanzia maisha ya kupanga na wakati unaweza kukaa home kwanza kwa wazaz halaf hyo pesa ufanyie biashara na ikikua ndio utoke hapo nyumban ukapange. Mimi ninafanya kazi sehem nzur tu na nina mwaka wa 2 tangia nimeanza kazi, na mshahara wangu ni mzur ila siwez kuhama home na kwenda kupanga kwasababu bado nina save pesa tena nying sana ili nianze biashara hapo mwakani kwahyo ile pesa ambayo ningepanga chumba ndo hyo ambayo niko nafanya saving, mwakani nifanye biashara ya kuongeza kipato then hihame home.

sikushaur kupangilia mahesabu ya kuanzia maisha hyo pesa ambayo ni kama ya mkopo. pesa ya mkopo haitakiwi kuguswa kwa jambo ambalo halikukusudiwa kwa lengo la kuikuza ili uweze kulipa riba.

Pili unatakiwa uishi maisha yako na usimgeze mtu jinsi anavoish, jibane sana na usifanye manunuz yasiyo ya lazima kama kununua nguo na viatu au starehe, hvo vitu vipe likizo kwa muda kwan hayo mambo yapo na utayafanya pale mtaji utakapokuwa mkubwa sana.

Mimiimefikia kipindi hata nguo nzur iweje sinunui kama sikuwa na plan nayo, sehem za starehe siend
 
Back
Top Bottom