Habari kwa wanaJf wote.
Ndugu zangu naomba msaada juu ya suala lifuatalo:
Kuna mdogo wangu alikuwa anafanya kazi na moja ya makampuni ya kigeni hapa nchini kwetu, na wakati anaajiriwa alibahatika kupata mkataba wa kudumu(Permanent contract), na alikuwa na takribani miaka 2 anafanya kazi na kampuni hiyo bila matatizo yoyote kazini. Kampuni iliamuwa kuuza tenda ya kitengo cha operations (ma-engeneer wote) kwa kampuni nyingine ya kigeni ambayo yenyewe aina ya mikataba yake ni ya ku-renew kila mwaka, sasa nataka kujua je kisheria
1. Huyu mwajiriwa alitakiwa kupata benefits gani kutoka kwa mwajiri wa mwanzo aliyevunja mkataba pasina kuwepo matatizo yoyote ya utendaji kazi wa huyu dogo?.
2.Huyo Mwajiri baada ya kuvunja mkataba na huyu dogo wakamsainisha contract ya mwajiri mpya ambayo ni ya ku-renew kila mwaka, hii iko je kisheria?
Nitashukuru kwa ufafanuzi.
Ndugu zangu naomba msaada juu ya suala lifuatalo:
Kuna mdogo wangu alikuwa anafanya kazi na moja ya makampuni ya kigeni hapa nchini kwetu, na wakati anaajiriwa alibahatika kupata mkataba wa kudumu(Permanent contract), na alikuwa na takribani miaka 2 anafanya kazi na kampuni hiyo bila matatizo yoyote kazini. Kampuni iliamuwa kuuza tenda ya kitengo cha operations (ma-engeneer wote) kwa kampuni nyingine ya kigeni ambayo yenyewe aina ya mikataba yake ni ya ku-renew kila mwaka, sasa nataka kujua je kisheria
1. Huyu mwajiriwa alitakiwa kupata benefits gani kutoka kwa mwajiri wa mwanzo aliyevunja mkataba pasina kuwepo matatizo yoyote ya utendaji kazi wa huyu dogo?.
2.Huyo Mwajiri baada ya kuvunja mkataba na huyu dogo wakamsainisha contract ya mwajiri mpya ambayo ni ya ku-renew kila mwaka, hii iko je kisheria?
Nitashukuru kwa ufafanuzi.