Kim Jong Un
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 496
- 258
Mimi nimezaa na Dada mmoja ambaye tulikuwa kwenye mahusiano ya muda baadae tukaachana, kwa saa kila mtu anaendelea na maisha yake.
shida iliyopo ni kuwa huyu mzazi mwenzangu hataki nimchukue mtoto hata kwa dakika, na mtoto anaishi na wazazi wa huyo dada na wzazi wake haniruhusu kumchukua, hawataki nimlipie karo shuleni, hawataki nimpe matumizi.
nataka msaada jinsi ya kuwa namchukua hata maramoja kwa week. na kumrudisha au kukaa naye. kushiriki kwenye kulipa karo ya mtoto. na vitu vingine.
mtoto ana miaka minne.
shida iliyopo ni kuwa huyu mzazi mwenzangu hataki nimchukue mtoto hata kwa dakika, na mtoto anaishi na wazazi wa huyo dada na wzazi wake haniruhusu kumchukua, hawataki nimlipie karo shuleni, hawataki nimpe matumizi.
nataka msaada jinsi ya kuwa namchukua hata maramoja kwa week. na kumrudisha au kukaa naye. kushiriki kwenye kulipa karo ya mtoto. na vitu vingine.
mtoto ana miaka minne.