Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
- Thread starter
- #21
Ha ha ha, Mtoboasiri, unataka unitoboe kwa siri??
Wee nishauri hapa hapa live on stage, hiki kimoja kinataka kunivunjia ndoa, nikiongeza wakawa wawili na watoto ntawakataa.
Wee nishauri hapa hapa live on stage, hiki kimoja kinataka kunivunjia ndoa, nikiongeza wakawa wawili na watoto ntawakataa.
Kongosho, kama upo serious naomba uni-PM. Ushauri wangu kwa mambo ya namna hii si wa kuuweka hadharani!
Last edited by a moderator: