Naomba Msaada: Sheria za Visa zinasemaje mtu kutoka nje ya nchi?

47pro

JF-Expert Member
Aug 3, 2015
1,204
332
Nina mpenzi wangu, raia wa Nigeria, Sasa huyu msichana tulikutana chuoni pale mlimani, na tumedumu kwenye mahusiano, hadi Sasa tumeshahitimu na mahafali tulishafanya tar 25 November 2015.

Nimedumu naye miaka yote mitatu, pia kwao Benue state, Nigeria ni mefika wazazi wake Kwa kweli walinipenda, hata wamfurahi kuskia kua nimempenda binti yao.

Nyumbani kwetu pia amefika, na ndo bado yuko hapa tunaendelea kula machalari ya moshi.
Shida yangu ni kwamba, mwakani nataka tufunge harusi kunako majaliwa, huku visa yake pia inaanza kuisha muda, je akiwa mke Kuna haja ya ku-update visa?

Katiba inasemaje pale mtanzania anapovuta jiko la ng'ambo?

Naomba kuwasilisha.
 
Navyojua:

One,
Achana na mambo ya visa. Wewe vuta jiko, then cheti cha ndoa kitakuwa ndio visa yenyewe automatically. Any querry ikiraise una surrender vyeti vya ndoa, na maisha yanaendelea kwa utulivu.

Two,
Nenda kanisani, hasa kanisa kubwa omba mwongozo.

Tatu,
Unaweza kwenda uhamiaji, omba mwongozo.

If I were you:
Naitendea haki option no.1 hapo above! Expecting the nature!

Karibu tena!
 
Navyojua:

One,
Achana na mambo ya visa. Wewe vuta jiko, then cheti cha ndoa kitakuwa ndio visa yenyewe automatically. Any querry ikiraise una surrender vyeti vya ndoa, na maisha yanaendelea kwa utulivu.

Two,
Nenda kanisani, hasa kanisa kubwa omba mwongozo.

Tatu,
Unaweza kwenda uhamiaji, omba mwongozo.

If I were you:
Naitendea haki option no.1 hapo above! Expecting the nature!

Karibu tena!

Mkuu umenifungua akili, wacha nifanye kama ulivo shauri
 
nenda ofisi ya Uhamiaji ya wilaya au mkoa iliyo karibu na wewe, wao
watakuambia unatakiwa ufanye nini.

angalia hicho kibali chake cha kuishi nchini kinaisha lini nenda kabla hakijaisha usije ukampa matatizo shemeji.
kila la heri mfunge ndoa na Mungu awajalie watoto wengi .
 
nenda ofisi ya Uhamiaji ya wilaya au mkoa iliyo karibu na wewe, wao
watakuambia unatakiwa ufanye nini.

angalia hicho kibali chake cha kuishi nchini kinaisha lini nenda kabla hakijaisha usije ukampa matatizo shemeji.
kila la heri mfunge ndoa na Mungu awajalie watoto wengi .

Amina mkuu, mungu akubariki Kwa neema zako.
 
Visa ya mke au girlfrind ipo fika ofisi za uhamiaji but dont forget nigerians are super power of africa watch your wallet twice think before you decide
 
Kwa kuoa au kuolewa nje ya nchi it is well settled. Hautahitaji procedure ndefu...cha muhimu hapo akaombe vibali ya kuishi au hata kubadili uraia kwa sababu ya kuolewa. Akiishi kama domestic wife iyo ni most easiest. Labda akitaka kuajiriwa ndio tutamdai permits xote. Vinginevo kigezo cha kuolewa na njia rais za kuishi nchini kuliko njia zingine zile. Ila to make it easier omba apate uraia kwa kuwa kaolewa na mtz.
 
Waliochangia wamekupa muongozo mzuri sana,,,
Langu mimi funga ndoa kwanza na bila vibari vyake kuisha alafu nenda ofisi za uhamiaji ukiwa na cheti cha ndoa,
Kwa uongozi huu wa ss utapata huduma ya haki na kwa mda muafaka..
Kila la kheri mkuu..
 
Dah huyo mkeo akija kusafiri anijulishe nimpe mzigo wa mtu fulan hivi ni mgana tho kazi zake anafanyia nigeria.
 
Dah huyo mkeo akija kusafiri anijulishe nimpe mzigo wa mtu fulan hivi ni mgana tho kazi zake anafanyia nigeria.

TAR 12/01/2016 tunaondoka naye..... Safari yetu inaanza kilimanjaro airport. Maana natokea moshi mjini. Sasa sijajua wewe uko yard gani Tanzania.
 
Mkuu ukienda usisahau kiniletea mafuta ya upako kutoka kwa tb joshua

Aaaaahaha.... Siezi kukuahidi mkuu, maana inategemea atakua eneo gani Nigeria, maana me naenda benue state.... Kama atakua Lagos au Abuja, kwangu itakua ngumu maana Kuna kaumbali na hiyo miji.
 
Nina mpenzi wangu, raia wa Nigeria, Sasa huyu msichana tulikutana chuoni pale mlimani, na tumedumu kwenye mahusiano, hadi Sasa tumeshahitimu na mahafali tulishafanya tar 25 November 2015.

Nimedumu naye miaka yote mitatu, pia kwao Benue state, Nigeria ni mefika wazazi wake Kwa kweli walinipenda, hata wamfurahi kuskia kua nimempenda binti yao.

Nyumbani kwetu pia amefika, na ndo bado yuko hapa tunaendelea kula machalari ya moshi.
Shida yangu ni kwamba, mwakani nataka tufunge harusi kunako majaliwa, huku visa yake pia inaanza kuisha muda, je akiwa mke Kuna haja ya ku-update visa?

Katiba inasemaje pale mtanzania anapovuta jiko la ng'ambo?

Naomba kuwasilisha.

mkuu! kweli wasomi wa karne hizi mnashangaza! tatizo hilo ni la kukusumbua? nitafute nitakufumbulia kitendawili...ritchecos@gmail.com tatizo la jukwaa hili watu wanabwabwaja tu they don't really advise or solve ones problem accordingly.
 
Aaaaahaha.... Siezi kukuahidi mkuu, maana inategemea atakua eneo gani Nigeria, maana me naenda benue state.... Kama atakua Lagos au Abuja, kwangu itakua ngumu maana Kuna kaumbali na hiyo miji.

msalie Yemi Alade, uniombee na namba.
 
Nina mpenzi wangu, raia wa Nigeria, Sasa huyu msichana tulikutana chuoni pale mlimani, na tumedumu kwenye mahusiano, hadi Sasa tumeshahitimu na mahafali tulishafanya tar 25 November 2015.

Nimedumu naye miaka yote mitatu, pia kwao Benue state, Nigeria ni mefika wazazi wake Kwa kweli walinipenda, hata wamfurahi kuskia kua nimempenda binti yao.

Nyumbani kwetu pia amefika, na ndo bado yuko hapa tunaendelea kula machalari ya moshi.
Shida yangu ni kwamba, mwakani nataka tufunge harusi kunako majaliwa, huku visa yake pia inaanza kuisha muda, je akiwa mke Kuna haja ya ku-update visa?

Katiba inasemaje pale mtanzania anapovuta jiko la ng'ambo?

Naomba kuwasilisha.

umeuliza swali la kitoto sana ata apa so mahali pake., lakini kwa kukusaidia washa laptop yako gonga visa and immigration kote kote Tz na Nigeria huko utapa information zooote vipi utaish na mgeni wa ndoa hapa ama vipi utaishi Nigeria na mkeo akiwa ni mzaliwa nk
 
Back
Top Bottom