Senetor ulambo
Member
- Feb 23, 2012
- 15
- 1
Nisaidieni ili niweze kutumia laini zingine nimechoka na internet ya voda ni wezi watupu natanguliza shukurani za dhati.
Nisaidieni ili niweze kutumia laini zingine nimechoka na internet ya voda ni wezi watupu natanguliza shukurani za dhati.
Nisaidieni ili niweze kutumia laini zingine nimechoka na internet ya voda ni wezi watupu natanguliza shukurani za dhati.
Na mimi niulizie hapa hapa: hivi kuna uwezekano wa kuifanya modem iwe kama flash drive kwa ajili ya storage/saving other things kama documents?
hapana unless iwe na card reader then uingize hiyo microMD