Naomba msaada:kuhusu ndoa

salito

JF-Expert Member
Dec 29, 2011
1,408
716
Habarini wana jf..mimi kuna swala linanitatiza hasa kwa watu wenye imani za dini zenu naomba mnifafanulie hili..Hivi kumuoa mwanamke ambae umeshaishi nae kinyumba linaruhusiwa katika imani yako?au ambae umeshazaa nae?kama jibu ni ndio kwa nini?na kama hapana kwa nini pia?naomba unifafanulie mtazamo wako juu ya hili..ukinipa na mistari ya kitabu unachokiamini utakuwa umenisaidia sana.

Angalizo:

Hii ni kwa wale watu wenye kujielewa,matusi,kejeli,dharau kwa imani isiyo yako hayahitajiki.kama huwezi hili tafadhali pita tu.
 
kama umeshazaa naye na mnaishi pamoja mi nadhani hiyo ni uhalalisho wa ndoa
 
Nikiwa fully uhakika nathubutu nikwambie hakuna dini yeyote inayozuia kumuoa mwanamke ex
ama alikua hawara yako or related matter, iwe alizaa au hakuzaa.
Unapohitaji kumhalalisha there is no objection , is quite applicable .
 
Nikiwa fully uhakika nathubutu nikwambie hakuna dini yeyote inayozuia kumuoa mwanamke ex
ama alikua hawara yako or related matter, iwe alizaa au hakuzaa.
Unapohitaji kumhalalisha there is no objection , is quite applicable .

Asante baba watoto
 
Nikiwa fully uhakika nathubutu nikwambie hakuna dini yeyote inayozuia kumuoa mwanamke ex
ama alikua hawara yako or related matter, iwe alizaa au hakuzaa.
Unapohitaji kumhalalisha there is no objection , is quite applicable .

anhaa kwa hiyo kumbe mkuu mnapokatazwa kuzini huwa ni kwa ajili ya nini??maana nilikuwa nahisi mbakatazwa kuzini ili muoane.
 
naomba mawazo yako bibie katika mada please..
Mi nadhan wachangiaji waliopita wapo sahih ni kwamba na ndo sikuhiz imekuwa si jambo lakushangaa watu weng wanaoana bt b4 kuhalalisha wanakuwa washakaa pamoja kama mke na mume
So hapana tatizo kwa iman yangu mimi
 
Unaweza kufunga nae ndo ila wanasema unabariki ndoa kwa kuwa umezaa na kuishi nae kabla ya ndoa
 
Habarini wana jf..mimi kuna swala linanitatiza hasa kwa watu wenye imani za dini zenu naomba mnifafanulie hili..Hivi kumuoa mwanamke ambae umeshaishi nae kinyumba linaruhusiwa katika imani yako?au ambae umeshazaa nae?kama jibu ni ndio kwa nini?na kama hapana kwa nini pia?naomba unifafanulie mtazamo wako juu ya hili..ukinipa na mistari ya kitabu unachokiamini utakuwa umenisaidia sana.

Angalizo:

Hii ni kwa wale watu wenye kujielewa,matusi,kejeli,dharau kwa imani isiyo yako hayahitajiki.kama huwezi hili tafadhali pita tu.

Heheh.........
Fuata ushauri wa charminglady na uhamishe hii mada kama kweli upo serious!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom