Mimi nimeajiriwa Arusha toka Dar,katika taratibu natakiwa nilipwe fedha ili nilete familia yangu ktk kituo changu cha kazi. menejimenti inasema nitafute bei ya kusafirisha mizigo yangu tani 1.5 nipeleke wanilipe. kinachonitatiza ni kwamba bei sijui, hii ni private sector ila wanasema wanalipa sawa na skimu za serikali.
NAOMBA MTU MWENYE KUFAHAMU NAPASWA NILIPWE SH NGAPI ANIJUZE NILIPWE HAKI YANGU
1.Mume na mke
2.Watoto watatu
3.mizigo tani 1.5
NAOMBA MTU MWENYE KUFAHAMU NAPASWA NILIPWE SH NGAPI ANIJUZE NILIPWE HAKI YANGU
1.Mume na mke
2.Watoto watatu
3.mizigo tani 1.5