Naomba msaada kuhusu loans kwa ongoing students

Graucho

Member
Nov 14, 2011
53
4
Habari wadau! Naomba msaada kwa ongoing student ambaye anamkopo kwa miaka miwili iliyopita ila mwaka huu hajafanya application tena baada website ya Heslb kublock; ili kuendelea kupata; 1)hivi ni lazima sana kuapply au kama jina lipo hamna shida tena kule bodi?
2) kama ni lazima ukienda sa hizi itawezeka?
3)au haina tatizo lolote.?
Jamani naombeni msaada na ufafanuzi kidogo kuhusu ili kwani nami ni miongoni mwa hao ambao hatukufanya hicho kitu.Nashukuru sana!
 
Continuing student: Ni lazima kwa sababu wanataka kujua kama unahitaji kuendelea kukopeshwa sababu unaweza kuendelea kukopeshwa kumbe huhitaji tena, kwa hiyo lazima u-confirm na deadline ilisogezwa mpaka 20-07-2012, kwa sasa 'Online Application System' (OLAS) imeshafungwa hivyo ku-confirm itakuwa ngumu na walishasema 'continuing students' hawahitajiki ku-submit anything to the board zaidi ya ku-confirm kwa njia ya mtandao. Ushauri wangu: Jitahidi kuwa up-to-date na taarifa.
 
Continuing student: Ni lazima kwa sababu wanataka kujua kama unahitaji kuendelea kukopeshwa sababu unaweza kuendelea kukopeshwa kumbe huhitaji tena, kwa hiyo lazima u-confirm na deadline ilisogezwa mpaka 20-07-2012, kwa sasa 'Online Application System' (OLAS) imeshafungwa hivyo ku-confirm itakuwa ngumu na walishasema 'continuing students' hawahitajiki ku-submit anything to the board zaidi ya ku-confirm kwa njia ya mtandao. Ushauri wangu: Jitahidi kuwa up-to-date na taarifa.

Kama nitaenda bodi kwa sasa itawezekana?
 
Kama nitaenda bodi yawezekana kwa sasa?

We nenda tu ukasikie watakuambiaje, lakini walitangaza mapema kuwa kila kitu kuhusu mkopo kwa wanaoendelea kusoma kitapitia kwenye mtandao. Napata shida sana kuona unaamka leo, hivi kuna muda hukuwepo chuoni au vp? Kama ulikuwepo, hukusikia kuwa kuna haja ya wanaoendelea ku-confirm kama wataendelea kuhitaji mkopo na zoezi lina deadline?
 
Back
Top Bottom