Wakuu naomba msaada.
Imetokea nimempenda rafiki wa dada angu, lakini kila nikijaribu kulianziasha naona ngoma haiendi.
Naomba nipeni mistari ya kuanzia.:
Wakuu naomba msaada.
Imetokea nimempenda rafiki wa dada angu, lakini kila nikijaribu kulianziasha naona ngoma haiendi.
Naomba nipeni mistari ya kuanzia.:
Embu tutokee hapa Rafiki wa DADA yako si dada yako pia,,, acha tamaa za kijinga,,,, hivi huyoo dada yako akitamaniwa na kaka wa huyo rafiki yake,alafu akamegwa wewe ukajua sista anagongwa we utajisikiaje? si utaona rafiki wa dada yako kamuuza kwa braza wake acheni hizo kemege mademu mbele ya safari huko,,, alafu hayoo yalikuwa mambo ya zamani kishenzi,,,, alafu dazini ushamwambia sista yako akakutolea nje coz amekuona boya kishenzi,,,,thus why umekuja jamvini,,, acha kutaka mitelemko............
Wakuu naomba msaada.
Imetokea nimempenda rafiki wa dada angu, lakini kila nikijaribu kulianziasha naona ngoma haiendi.
Naomba nipeni mistari ya kuanzia.: