Naomba msaada jinsi ya ku-install software kwenye Ubuntu.

The above command will work up to Lucid (I have checked repos don't have Maverick package). Now for those with 10.10 use this:
sudo add-apt-repository ppa:nilarimogard/webupd8
sudo apt-get update
sudo apt-get install exaile

Thanks to Webupd8 for providing the repos

Asante sana mkuu, kwa kufuata maelekezo yako nimeweza kupata internet kwa kutumia modem. Hivyo nimeweza kuinstall vitu vingi tofauti na kutumia packages.
 
Nakushauri utumie VLC player for me is the best ever player just go to Ubuntu Software Center then baada ya kufunguka pale kwenye search type"VLC" then utapata option ya kuinstall ila hakikisha uko kwenye mtandao wa intaneti:roll:
 
I use VLC for playing much of videos, but I love Banshee for audio. It can play videos too, banshee is really audio maverick and can handle IPods too! I will try it as video player and see!
 
Nataka kutumia os ya fedora 14, tayari nshaiweka ktk pc katika second partition nyingine.
Naombeni maelezo ya jinsi ya:
1. Ku-update
2. Ku-instal and ku-uninstal programs
3. Compatible software
4. Ku-activate in-built in media programs, video and audio and other application software
Na vitu vingine vitakavyonifanya niwe fit/competent katika linux
 
Back
Top Bottom