hiyo cv nitaituma vipi
tafuta mtaji uanze kufanya biashara..............eg stationary ....
hiyo cv nitaituma vipi
lazima tufike wakati wa kuangalia mfumo mzima wa ajira a si mtu kwani kwa mazingira ya sasa inawezekana vijana 3 wakajiunga na kutafuta photocopy machine 1,500,000 na kompyuta 200,000 na printer 100,000 wakafungua stationary na kuanza maisha yao ikitokea wamepata kazi nyingine mbeleni ni vema lakini si wakati wa kusoma na kutegemea ajira za serikaliwatu mnaowapaga ushauri kama huo watu wanaotafuta kazi huwa mnanichosha!!!
Sasa mtu kazi hana, mtaji akatoe wapi jamani!?? Muelekeze japo namna ya kupata huo mtaji.
lazima tufike wakati wa kuangalia mfumo mzima wa ajira a si mtu kwani kwa mazingira ya sasa inawezekana vijana 3 wakajiunga na kutafuta photocopy machine 1,500,000 na kompyuta 200,000 na printer 100,000 wakafungua stationary na kuanza maisha yao ikitokea wamepata kazi nyingine mbeleni ni vema lakini si wakati wa kusoma na kutegemea ajira za serikali
lazima tufike wakati wa kuangalia mfumo mzima wa ajira a si mtu kwani kwa mazingira ya sasa inawezekana vijana 3 wakajiunga na kutafuta photocopy machine 1,500,000 na kompyuta 200,000 na printer 100,000 wakafungua stationary na kuanza maisha yao ikitokea wamepata kazi nyingine mbeleni ni vema lakini si wakati wa kusoma na kutegemea ajira za serikali
ndio kwanza najiunga naomba mnitafutieni kazi watanzania wenzangu nimejitahidi nimekosa mimi ni graduate wa sua[/QUO
pole sana mkuu usikate tamaa utapata, maana hii kazi ya kutafuta kazi nayo ni kazi haswa..
.tatizo walioajiriwa wanashauri wenzao kujiajiri afu wao wanabaki wameajiriwa.non-sense!
mbona pango haujazungumzia au unafungulia hyo biashara geto.acheni kurahisisha mambo.tatizo walioajiriwa wanashauri wenzao kujiajiri afu wao wanabaki wameajiriwa.non-sense!
Dah kumbe 2po weng, ushauri wa kujiajiri ni mgumu na unachallenge zake (1) lack of capital (2) experience (3) most of us graduate we are n't ready psychologically to be entrepreneur,(4) poor gvt policy (5) condtn of gettn loan frm micro- fnc usiombe! Mi mwenyew ni graduate wa sua lakn college muccobs wa procurement, so 2peni mawazo mengine lakn cio ujasiriamali kama nnavyo dai