mtu ka ukumiwa miaka kumi na tano jela kwa kosa la mauwaji baada ya kutoka jelakamu ona mtu yule yule aliye ukumiwa yeye kuwa kamuua ika bidi achukue pangaamufukuze uyo mtu alipo mkamata aka mkata mapanga mpaka akamuua, je?ata ukumiwa tena kwa kosa la mauaji?