Kisiju ipo wapi?
Kutoka Dar mpaka kufika hapo kuna usafiri gani na gharama zikoje?
Nilipata taarifa kuwa kuna kuku wa kienyeji, katika mchakato wa kutaka kupunguza makali ya maisha nataka kuanza biashara ya kuku wa kienyeji. Nimeambiwa huko kuna kuku, naomba anayejua pia kuku wa kienyeji wanaweza kupatikana kwa bei ya jumla shilingi ngapi?
Kutoka Dar mpaka kufika hapo kuna usafiri gani na gharama zikoje?
Nilipata taarifa kuwa kuna kuku wa kienyeji, katika mchakato wa kutaka kupunguza makali ya maisha nataka kuanza biashara ya kuku wa kienyeji. Nimeambiwa huko kuna kuku, naomba anayejua pia kuku wa kienyeji wanaweza kupatikana kwa bei ya jumla shilingi ngapi?