kwa mtizamo wangu maneno yote ni sahihi inategemea unataka kutumia wapi na kwa nani,Ndio na ndiyo
Unayosema ni kweli, kwenye sarufi ya Kiswahili Sanifu gari iko katika "Noun class" li-ya na wala sio i-zi kama nilivyosema mimi. Kwa maana hiyo gari litakuwa halihusiki na ndio/ndiyo bali ndilo.nashukuru kwa maelezo yako lkn je ni sahihi kusema "Gari ile"? au ni "Gari lile"