Mnyenz JF-Expert Member Apr 5, 2014 1,426 4,329 Jul 30, 2015 #5 Mi nikajua unatoka Ccm unakuja UKAWA bwana!!. Lakini karibu pia hivyo hivyo.
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,043 10,692 Jul 31, 2015 #9 karibu sana JF mjukuu wetu............
Malyakishu JF-Expert Member Jun 3, 2015 1,968 2,339 Jul 31, 2015 #10 Karibu sana weka mabegi paleeeereee
J Jemedari Hodari Member Jul 29, 2015 76 8 Jul 31, 2015 #11 young eagle said: Jamani mi ni mgeni humu ndani naomba mnipokee Click to expand... Ha ha ha karibu sana kwenye jukwaa la great thinkers. Ila ukileta matusi au lugha za uchochezi unakatwa tu.
young eagle said: Jamani mi ni mgeni humu ndani naomba mnipokee Click to expand... Ha ha ha karibu sana kwenye jukwaa la great thinkers. Ila ukileta matusi au lugha za uchochezi unakatwa tu.
A alley omar JF-Expert Member Jul 10, 2013 277 37 Aug 2, 2015 #13 halafu mnyez mbona unamtisha mgeni bwana mjukuu wetu ngoja akae apumzike tumtengezee chai tumsikilize nyuz zake
halafu mnyez mbona unamtisha mgeni bwana mjukuu wetu ngoja akae apumzike tumtengezee chai tumsikilize nyuz zake