Dr. Welelo
Member
- Oct 14, 2012
- 13
- 8
Nipo siku nyingi humu nikiwasoma kama mgeni, leo nimeona nijiunge na mimi nipate kuchangia mawili matatu kulingana na uzoefu wangu kwani sasa nina muda wa kutosha baada ya kumaliza majukumu yaliyokuwa yamenitinga.
Naomba mnipokee tafadhalini.
Naomba mnipokee tafadhalini.