Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Pole
najua ulitaka kujuiuliza didy anavuta wa pili nini hapana airuhusu
kuna mtu katupigia jana kwenye maombi akiomba tumsaidie jamani na hilo tatizo
hapo juu ..najua ni gumu kulikubali lakini nikaona niwashirikishe wapendwa
tumsaidiaje na jua mawazo yaakao yatasaidia wengi waliokumbwa na tatizo hili
na watakaoukumbwa na tatizo kujua jinsi gani ya kukabiliana nalo...mawazo yako tutayaheshimu
binafsi nisingependa kutoa yaliomo moyoni naitaji kupata mawazo tofauti hili tatizo naona sasa
limekuwa linaongezeka kila siku
unahisi ni yeye pekee hata wewe ambae ujaoa ama kuolewa yaweza kukutokea ati sikuombei baya
ila ukisoma hapa utajua kumbe hata likitokea ni mapenzi ya mungu hujui kama alikuwa si wako
unataka kulazimisha
najua ulitaka kujuiuliza didy anavuta wa pili nini hapana airuhusu
kuna mtu katupigia jana kwenye maombi akiomba tumsaidie jamani na hilo tatizo
hapo juu ..najua ni gumu kulikubali lakini nikaona niwashirikishe wapendwa
tumsaidiaje na jua mawazo yaakao yatasaidia wengi waliokumbwa na tatizo hili
na watakaoukumbwa na tatizo kujua jinsi gani ya kukabiliana nalo...mawazo yako tutayaheshimu
binafsi nisingependa kutoa yaliomo moyoni naitaji kupata mawazo tofauti hili tatizo naona sasa
limekuwa linaongezeka kila siku
unahisi ni yeye pekee hata wewe ambae ujaoa ama kuolewa yaweza kukutokea ati sikuombei baya
ila ukisoma hapa utajua kumbe hata likitokea ni mapenzi ya mungu hujui kama alikuwa si wako
unataka kulazimisha