Shirika la benki ya taifaukisoma kwenye magazeti au majarida utaona waandishi wanatofautina kuelezea hili sentensi,sentensi ipi ni sahihi hapa chini?
1. Shirika la benki la taifa.
2. Shirika la taifa la benki
Ni kosa kubwaAskari nashukuru,kwa hiyo ile 'la' pale kati nayo ni kosa?