baada ya kuidownload i install..then nenda kwenye site za torrents (mf: Download Kickasstor Torrents - KickassTorrents) kisha search unachotaka ku download ukikipata download then fungua ulichodownload (ni ki file flani hivi kidogo tu) ukikifungua tu chenyewe kitafunguka kwa kutumia hiyo bit Torrent we bonyeza ok kisha hiyo bit torrent yenyewe itaanza kudownload!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.