Danp36
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,097
- 920
Mi napenda sana kuokoka katika makanisa ya siku hizi yani yakiroho lakini cjajuatmpaka leo niende kwa yupi naona kilammoja anafundisha mafundisho yaliyo nje ya mandiko ya biblia .naomba mniambiye kanuni za kufutata mpaka niitwe mkristo wa mungu .mana siomi kwenye biblia sehemu walipoongozwa sala ya toba watu na pale walipo ambiwa sema futa jina langu kwenye kitabu cha ukumu na andika kwenye kitabu chauzima bali mungu kasema nilikujua tangu misingi ya ulimwengu walio wake .je hi ya kuombea sala ya toba ni wapi imeandikwa mana mungu alisema atakaye ongeza au kupunguza mandiko yake atahukumiwa kwa kosa hilo naomba nieleweshwe hapo namipia ni mlokole ila cjaongozwa sala ya toba.kwa walokole.