Ndio kwa mara ya kwanza naenda kuanza masomo ya chuo, ukweli kwanza nahitaji msaada mkubwa kutoka kwa yeyote ambaye ana uzoefu na maisha ya chuo ili niweze kutimiza malengo yangu nilio jiwekea. sijui chochote ku husu chuo naomba msaada wa
----nini ni fanye iliniweze kuishi na wana chuo wenzangu salaama
----nifanye nini ili niweze ku cotrol boom(naomba mbinu)
----nifanye nini niweze kwenda sambamba na time table
----nacho kwenda soma ni bachelor of science in education at SUA je kunahitajika madaftari mangapi?
----Je kutumia materials ya walio kutangulia mwaka ina kubalika
Kwa hayo ndio nime weza kuya fikiria,lakini kama kuna mengi zaidi ya hayo naomba kunijuza.!
----nini ni fanye iliniweze kuishi na wana chuo wenzangu salaama
----nifanye nini ili niweze ku cotrol boom(naomba mbinu)
----nifanye nini niweze kwenda sambamba na time table
----nacho kwenda soma ni bachelor of science in education at SUA je kunahitajika madaftari mangapi?
----Je kutumia materials ya walio kutangulia mwaka ina kubalika
Kwa hayo ndio nime weza kuya fikiria,lakini kama kuna mengi zaidi ya hayo naomba kunijuza.!