Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,845
- 5,063
- Thread starter
- #41
haya mambo yapo, wengine yalishatukuta mazito sana, wanawake toka taliban wengi ni wafanyabiashara na wanaangalia faida!
usifanye jambo kwa kushauriwa na mtu, jiulize mambo yafuatayo:
Unampenda kiasi kwamba-
1. unaweza kuachana na mkeo kwa ajili yake?
2. Unaweza kuvumilia maumivu mengine baadaye?
Kama umejibu ndiyo kwenye moja kati ya maswali hayo, basi msamehe na mrudiane, kama hukujibu ndiyo, basi msamehe aendelee na maisha yake kivyake..MPOTEZEYE!
siwezi kurudiana nae hata iweje.
aliyofanya yanatosha
tayri nina familia.
kikubwa nataka nimuondoe pale nyumbani kwetu basi hakuna zaidi ya hapo.