Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Niambie niact badala ya Edina aone cha moto huyo mwanamke katili!!!
Thats my baunsa bht!
Niambie niact badala ya Edina aone cha moto huyo mwanamke katili!!!
Amenichefua sana huyo dada! hana aibu hata moja kha!
kaka we ni mvumilivu sana na una upendo. ila kabisa inabidi apotee kwenye anga zako, ingekuwa mimi ningemtwanga
hahaaa mpwa/shemeji wewe bwana, yaani angeomba aangukiwe na nyumba!!
Duh....haya makubwa kama kuangukiwa na nyumba itakuwa afadhali!
Hadith tamu. Keep it up, kama vipi mpatie Shigongo akuandikie kitabu.
Wazazi ako hawana mashamba ya pamba?mpaka sasa yuko kwetu pale sengerema hataki kuondoka wazaz wangu wamemwelewesha lakni dada haelewi, ndugu zangu nipeni mawazo nifanyeje ili atoke pale kwetu. tarehe 19 naanza likizo na nitaondoka nchini kwenda poland ukweni kwa ajili ya mapumziko na kumpeleka mwanangu kuwaona babu ba bibi yake.
Achana nae huyo watu wengine wamezoea kuponda kila kitu!! hapo anataka umjibu ndivyo sivyo aanze kuporomosha Matusi! This is True story na Jamaa namfahamu!!Sio hadithi tu...ni hadithi ya ukwelina xperience maishani.. Unavyoongea ni kama unakebehi wewe, na umechukulia kama mchapo..Put a helping word pal!
Hadith tamu. Keep it up, kama vipi mpatie Shigongo akuandikie kitabu.
Kula tano Mkuu, jamaa kwanini hasipotezee tu mpaka haaribu mood za wachangiaji wengine ndio moyo wake uneemeke. Mwe!!Kama hujaimind kisa wewe kiache....
Kama hujaimind kisa wewe kiache....
Sipo said:Kula tano Mkuu, jamaa kwanini hasipotezee tu mpaka haaribu mood za wachangiaji wengine ndio moyo wake uneemeke. Mwe!!
Tatizo huyo Demu yupo kwa wazazi wake na kagoma kuondoka wazazi wanashindwa kumuondoa!!Mheshimiwa wala huitaji ushauri maana hakuna cha kuongea naye, jikalie kimya jali family yako na wazazi wako.
Huyu mwache dunia imchape kwanza.
Tatizo huyo Demu yupo kwa wazazi wake na kagoma kuondoka wazazi wanashindwa kumuondoa!!
Mkuu naomba usitoe tusi jingine, tuendelee kumpa ushauri mdau ili aondokane na masahibu hayaTatizo lenu ni nini? Hamjauona mchana au ?? Ushauri nimempa mleta kisa ..nyie mwaanza kuwashwa.
Mkuu naomba usitoe tusi jingine, tuendelee kumpa ushauri mdau ili aondokane na masahibu haya