Enny
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 962
- 130
Habari za kazi wanajamii. Naomba msaada wenu katika jambo hili.
Nilikuwa nafanya kazi katika mgodi wa North Mara na sasa nimepunguzwa kazi, katika pesa nilizolipwa, na mafao yangu ya nssf pamoja na hela niliokuwa nimeweka Benki nina kama milioni 20,000,000.
Nafikiria biashara ya kuanza ili niweze kuendesha maisha yangu na familia kwa ujumla.
Mchango wenu ni muhimu na una maana kubwa katika suala hili.
Ahsateni.
Nilikuwa nafanya kazi katika mgodi wa North Mara na sasa nimepunguzwa kazi, katika pesa nilizolipwa, na mafao yangu ya nssf pamoja na hela niliokuwa nimeweka Benki nina kama milioni 20,000,000.
Nafikiria biashara ya kuanza ili niweze kuendesha maisha yangu na familia kwa ujumla.
Mchango wenu ni muhimu na una maana kubwa katika suala hili.
Ahsateni.