Je kuna mamluki Chadema?Je CCM kwa kuwa imechafuka inapambana kupandikiza mamluki Chadema ili isifurukute 2015?Kwanini CCM inazusha uongo wowote kwa Chama tishio na wananchi wanaitikia?Mfano CUF ilizushiwa kuagiza visu na iliitwa Chama cha kidini.Chadema iliitwa chama cha wachagga sasa kinaitwa chama cha wakatoliki.Kwani Chadema haiwezi kuwa na mtandao wa kudhibiti hujuma hizo na kupandikiza mamluki wao CCM?