Ukiwa kama mdau muhimu wa mabadliko katika teknolojia, naomba utembelee www.wilguy-jibebe.blogspot.com, na utoe maoni yako. Maoni yako ni muhimu sana, na yatatumika kujenga MUSTABALI WETU.
Rekebisha rangi zako kwanza mkuu, especially background colours, kwa sababu kwa watu wenye matatizo kidogo ya macho huwa wanakuwa na vision nzuri kwenye white background, au at least broken white, cream, "light" blue, green, grey etc, then font jaribu kutumia rangi kali km black, dark blue etc. Au black background - white font. Khs contents sio mbaya.
una nia nzuri lakini cha kwanza jina la blog ni gumu sana try something simple ,pia find a templete for your blog iko odinary sana. rangi pia haivuti kabisa .nita pitia badhi ya templete nilizo nazo naeza kukutumia mmoja wapo ,PM me ypur email
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.