stevoh JF-Expert Member Dec 5, 2011 2,921 1,104 Jul 15, 2012 #1 Nauuliza bubu anatumia mbinu gani kumwambia kipofu kwamba mke wake anachukuliwa na kiziwi?
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,701 Jul 15, 2012 #2 Naenda kulala naomba Mungu niamke salama kesho asubuhi huenda nikakata hili swali limejibiwa.
Catherine JF-Expert Member Jun 30, 2012 1,261 758 Jul 15, 2012 #3 Katavi said: Naenda kulala naomba Mungu niamke salama kesho asubuhi huenda nikakata hili swali limejibiwa. Click to expand... usisahau kushusha chandarua Katavi. Jibu la swali, bubu atamtumia kibogoyo kufikisha ujumbe. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Katavi said: Naenda kulala naomba Mungu niamke salama kesho asubuhi huenda nikakata hili swali limejibiwa. Click to expand... usisahau kushusha chandarua Katavi. Jibu la swali, bubu atamtumia kibogoyo kufikisha ujumbe.
Ronn M JF-Expert Member May 2, 2012 1,279 683 Jul 15, 2012 #4 Loh! kweli swali. . . Sema kichwa changu toka filamu ya Kova na Joshua ianze kimegoma kufikiri. . sasa hapa ndo nimeshindwa kuwaza kabisa
Loh! kweli swali. . . Sema kichwa changu toka filamu ya Kova na Joshua ianze kimegoma kufikiri. . sasa hapa ndo nimeshindwa kuwaza kabisa
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,701 Jul 15, 2012 #5 Catherine said: usisahau kushusha chandarua Katavi. Jibu la swali, bubu atamtumia kibogoyo kufikisha ujumbe. Click to expand... Asante Catherine kwa kunikumbusha kuhusu chandarua... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Catherine said: usisahau kushusha chandarua Katavi. Jibu la swali, bubu atamtumia kibogoyo kufikisha ujumbe. Click to expand... Asante Catherine kwa kunikumbusha kuhusu chandarua...