Iko hiii kozi inashughulika na nni na vipi kuhusu ajira zake kitaa
Usitake kumdanganya mwenzio bure, hii kozi ina market sana! Hawa ni makatibu wa mahospitali na wanahitajika sana. Hii kozi ni sawa public heath hata kwenye NGOs wanahitajika sana, itapendeza zaidi akifanya masters yake ni very marketable.Kama madaktari tu hawaajiriwi ,pia ukimaliza hii usiweke sana matarajio kapambane huko private sector
Ooohhh kumbee nashukuru ndugu yngu..Usitake kumdanganya mwenzio bure, hii kozi ina market sana! Hawa ni makatibu wa mahospitali na wanahitajika sana. Hii kozi ni sawa public heath hata kwenye NGOs wanahitajika sana, itapendeza zaidi akifanya masters yake ni very marketable.
Ok nashukuru kwa mchango wako tutajitahidi tuuKama madaktari tu hawaajiriwi ,pia ukimaliza hii usiweke sana matarajio kapambane huko private sector
Ok nashukuru kwa mchango wako tutajitahidi tuu
Wabongo bhana, unaanzaje kuomba kozi ambayo hujui hata application zakeIko hiii kozi inashughulika na nni na vipi kuhusu ajira zake kitaa
Wabongo bhana, unaanzaje kuomba kozi ambayo hujui hata application zake
Ooohhh kumbee nashukuru ndugu yngu..
Sasa masters yake kozi hii nachukulia wapi na nabase sehemu gani
Ok thanksNadhani UDSM wana Msc Health Inform System.
Jaribu kutazama tovuti Yao.
wewe ndo umemdanganya, makatibu wa hosp. ni health system management na kwa tz inatolewa mzumbe tu kwa shahada. na haiko sokoni kiivo maana walikuwa wana ajiliwa moja kwa moja.ila tangu mwaka juzi ni ajira za kutafuta kwa tochi.Usitake kumdanganya mwenzio bure, hii kozi ina market sana! Hawa ni makatibu wa mahospitali na wanahitajika sana. Hii kozi ni sawa public heath hata kwenye NGOs wanahitajika sana, itapendeza zaidi akifanya masters yake ni very marketable.
UDSM (College of Information & Communication Technologies)Ooohhh kumbee nashukuru ndugu yngu..
Sasa masters yake kozi hii nachukulia wapi na nabase sehemu gani
Soma alichouliza muuliza swali, naona hata hujui ameuliza kitu gani. Hiyo hiyo iliko Mzumbe ndiyo aliyouliza na sio IT tu. Hapa inahusu hasa utawala katika mahospitali, unaweza hata kua Mkurugenzi wa hospitali.wewe ndo umemdanganya, makatibu wa hosp. ni health system management na kwa tz inatolewa mzumbe tu kwa shahada. na haiko sokoni kiivo maana walikuwa wana ajiliwa moja kwa moja.ila tangu mwaka juzi ni ajira za kutafuta kwa tochi.
hii aiuliziayo mdau ni IT upande wa hosp. ajira zipo.
kauliza health information systemSoma alichouliza muuliza swali, naona hata hujui ameuliza kitu gani. Hiyo hiyo iliko Mzumbe ndiyo aliyouliza na sio IT tu. Hapa inahusu hasa utawala katika mahospitali, unaweza hata kua Mkurugenzi wa hospitali.
Ahsanteni kwa msaada zaidwewe ndo umemdanganya, makatibu wa hosp. ni health system management na kwa tz inatolewa mzumbe tu kwa shahada. na haiko sokoni kiivo maana walikuwa wana ajiliwa moja kwa moja.ila tangu mwaka juzi ni ajira za kutafuta kwa tochi.
hii aiuliziayo mdau ni IT upande wa hosp. ajira zipo.
Kwa udom capacity ya wanafunzi kwa mwaka ikoje.?Ahsanteni kwa msaada zaid