AMARIDONG
JF-Expert Member
- Jun 24, 2010
- 2,502
- 180
Kama sijakosea CCM na serikali yake wamesema kama kuna mtu hajaridhishwa na uchaguzi wa meya aende mahakamani,lakini kama nakumbuka vizuri Askofu Laizer alisema uchaguzi urudiwe na sheria ifuatwe,hivi CCM wanataka nini?wameshindwa hata kumsikiliza baba askofu Laizer
Natoa tamko kwa wakristo na wanachama wenzangu wa CHADEMA
MHESHIMIWA MWENYEKITI NA KATIBU MKUU CHADEMA
TUNAOMBA MAANDAMANO MENGINE ARUSHA SOON,HAWA JAMAA WANATUCHEZEA AKILI
Natoa tamko kwa wakristo na wanachama wenzangu wa CHADEMA
MHESHIMIWA MWENYEKITI NA KATIBU MKUU CHADEMA
TUNAOMBA MAANDAMANO MENGINE ARUSHA SOON,HAWA JAMAA WANATUCHEZEA AKILI